Calafiori aondoke? Hana huo mpango Calafiori alijiunga na Arsenal kutokea Bologna wakati wa dirisha la majira ya kiangazi la mwaka jana, lakini ameshindwa kutamba sana kutokana na kusumbuliwa na majeraha.
Xavi Simons akija kuna mtu anatoka CHELSEA ipo kwenye hatua za mwisho kabisa kunasa saini ya Xavi Simons, lakini dili hilo litamshuhudia staa mmoja wa Chelsea akichomolewa kikosini.
Paqueta mambo safi tu hajabeti KIUNGO wa West Ham United, Lucas Paqueta amefutiwa mashtaka yaliyokuwa yakimkabili juu ya sakata la kubeti ambalo lilikuwa likimuweka kwenye hatari ya kufungiwa soka maisha.
Vigogo Newcastle United wanaogopa MABOSI wa Newcastle wana hofu kwamba Liverpool iko tayari kutumia mbinu ya kusubiri kama ile ilivyofanya kwa Virgil van Dijk ili kuhakikisha inainasa saini ya mshambuliaji Alexander Isak, ambaye...
NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Dabi za sasa hazina undava KAMA wewe ni mtoto wa 2000, huenda hii inaweza kuwa ngumu kuamini, lakini ukweli ni Dabi ya Kariakoo kwa sasa haina undava kabisa, kwani mabeki wamekuwa laini tofauti na miaka ya nyuma. Miaka ya...
NYEPESI NYEPESI ZA DABI: Yanga, Simba hadi Pan na Red Stars NDIVYO ukweli ulivyo. Yanga ina kila sababu ya kujiita Baba Lao katika soka la Tanzania, kwani unaambiwa, licha ya kusumbuana kwa sasa na Simba katika ubingwa wa Ligi Kuu, lakini klabu hiyo ndio...
Pogba ruksa kukipiga tena JUMANNE, Machi 11 ilikuwa siku ya mwisho kwa kiungo Mfaransa Paul Pogba kutumikia adhabu ya kufungiwa soka na sasa, mkali huyo wa zamani wa Manchester United na Juventus yupo huru kukipiga tena...
Mnguto ajiuzulu, Karia amsimamisha Kasongo TPLB Saa chache baada ya Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB), kupanga tarehe ya mchezo wa Yanga dhidi ya Simba, Mwenyekiti wake Steven Mnguto amejiuzulu.
Dembele bado ajifua kivyake WINGA Ousmane Dembele anaendelea kujifua kivyake wakati huu akipambana kupona maumivu ya misuli.
Nicolas Jackson apasua ukweli Chelsea STAA wa Chelsea, Nicolas Jackson amemueleza kocha wa timu hiyo, Enzo Maresca anafikiria kujiunga na timu nyingine.