Kaze aleta fundi mwingine Yanga KOCHA wa Yanga, Mrundi Cedrick Kaze jana aliwafanyia usaili makocha wanne wazawa, ili kupata mrithi wa Juma Mwambusi aliyeng’oka Jangwani. Mwambusi inaelezwa kwamba ameomba kukaa pembeni...
Refa Ikambi, Simba na Yanga kulikoni! Simba inaomboleza msiba wa kipigo chao cha kwanza msimu huu katika Ligi Kuu Bara lakini mwamuzi aliyechezesha mechi hiyo ameweka rekodi ya pili katika kuchezesha mechi za maumivu katika klabu...
Mugalu atuma salamu Yanga WAKATI pambano la watani wa jadi likikaribia, straika wa Simba, Chris Mugalu amesema mabao yake mawili aliyofunga juzi dhidi ya USGN na kuiwezesha timu yake kutinga robo fainali ya Kombe la...
Kisa Kocha Stars, TFF yapewa mchongo KITENDO cha Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kukaa kimya hadi sasa juu ya kocha mkuu wa timu ya Taifa Tanzania, kimewaibua wadau mbalimbali wa soka na kuhoji namna wachezaji...
PRIME Waziri Jr, Moalin kizungumkuti, TFF kimya Licha ya kumtambulisha mchezaji bora wa mwezi Septemba katika Ligi Kuu, mshambuliaji wa Kmc, Waziri Junior bado hajapata tuzo yoyote ile hadi sasa ikiwa imebaki siku moja tu kuingia mwezi Novemba.
PRIME Gamondi apiga mkwara mpya kambini Yanga SC Yanga imeingia kambini jana tayari kwa maandalizi yao ya kuwakaribisha watani wao Simba, lakini kuna mkwara mzito wameshushiwa mastaa wao kisa Wekundu hao.
Beki Yanga ala shavu Ghana CHAMA cha soka Ghana (GFA) kimemteua beki wa zamani wa Yanga, Joseph Zutah kuwa meneja mkuu wa vituo vyote vya soka nchini humo kuanzia juzi. Mafanikio ambayo Zutah ameyapata katika klabu ya...
Mgunda mbioni kutua Singida Fountain Gate Inaelezwa kwamba kiuchumi hali ya Singida haipo vizuri, jambo linawafanya na baadhi ya wachezaji ambao hawakutaka kutaja majina yao, kujiandaa kuvunja mikataba yao.
Man United hapatoshi… Watatu watajwa TAARIFA kutoka Manchester United zinadai Oliver Glasner, Fabian Hurzeler na Andoni Iraola ni miongoni mwa makocha wanaofikiriwa na mabosi wa timu hiyo kupewa mikoba ya Ruben Amorim ambaye huenda...
Ligi ya Mabingwa Ulaya… Kinawaka LIGI ya Mabingwa Ulaya inaendelea leo kwa mechi tisa kupigwa ambapo vigogo wa Hispania Real Madrid, Chelsea, Bayern Munich, Liverpool, Inter Milan na Tottenham Hotspur watakuwa katika harakati za...