Crystal Palace yaweka rekodi Ulaya BAO la Jean-Philippe Mateta lilitosha kuipa Crystal Palace FC taji lao la kwanza kabisa la Ulaya baada ya Eagles kuifunga Rayo Vallecano katika fainali ya Europa Conference Ligi.
Slot afunguka mazito baada ya kufutwa kazi Liverpool KOCHA wa zamani wa Liverpool, Arne Slot amesema anaondoka katika klabu hiyo ukiwa ni muda sahihi kwake.
Kigari cha kubeba majeruhi uwanjani chagonga mchezaji MASHABIKI wa soka wameachwa wakiwa na mshangao baada ya mchezaji wa El Nacional, Edison Caisedo kugongwa na kigari cha kubebea wachezaji majeruhi uwanjani cha timu yake wakati wa mechi ya Ligi...
CR7 alivyopunguza pengo la mataji dhidi ya Messi WAKATI Cristiano Ronaldo akiwa katika msimu wake wa nne Al-Nassr, nyota huyo wa Ureno ametwaa taji lake la kwanza akiwa na klabu hiyo, likiwa ni la Ligi Kuu Saudia maarufu kama Saudi Pro League.
Nuno Espirito ‘kuliwa kichwa’ West Ham United Timu ya West Ham United inatarajiwa kuachana na kocha wake, Nuno Espirito Santo, kufuatia kushuka daraja kutoka Ligi Kuu England hadi Championship.
Bao la McTominay lawekwa kwenye noti Scotland ILI kuadhimisha kurejea kwa Scotland kushiriki Fainali za Kombe la Dunia ikipita takribani miaka 28, moja kati ya bao la kuvutia lililofungwa hivi karibuni katika historia ya taifa hilo, sasa...
Ivory Coast kikosi ghali Afrika Kombe la Dunia 2026 Licha ya kuwa na kundi kubwa la nyota wenye majina makubwa, Morocco na Senegal zimezidiwa na Ivory Coast katika chati ya timu za Afrika zenye vikosi vya thamani kubwa zaidi kwenye Kombe la Dunia...
Messi avunja rekodi, atuma ujumbe Kombe la Dunia MSHAMBULIAJI Lionel Messi alikuwa miongoni mwa wachezaji walioangaza katika ushindi wa Argentina dhidi ya Iceland katika mechi yao ya mwisho ya maandalizi kabla ya Kombe la Dunia.
Penzi la Zari, Shakib lafikia mwisho, waachana Mwanamuziki na mfanyabiashara maarufu kutoka Uganda, Zarinah Hassan maarufu kama ‘Zari The Boss Lady’ na mumewe wa muda mrefu Shabiki Lutaaya ametangaza kuachana rasmi baada ya kudumu kwa miaka...