Slot apewa ujanja wa kumtema Salah KOCHA Arne Slot amepewa ujanja anaweza kutumia michuano ya Afcon kama nafasi muhimu kwake kufanya jaribio la kumtoa Mohamed Salah kwenye mipango yake katika kikosi cha Liverpool.
Hadithi ya Neymar huko Santos haivutii HADITHI ya supastaa Neymar kurudi Santos inaelekea kwenye mwisho mbaya tofauti na ndoto zake baada ya timu hiyo kuwa kwenye hatari ya kushuka daraja.
Dili jipya la Saka Emirates kufuru ARSENAL inaamini itashinda vita ya kumshawishi winga wao matata kabisa, Bukayo Saka juu ya kusaini dili jipya kwenye timu hiyo baada ya majadiliano ya muda mrefu.
Mbrazili wa Real Madrid afunguka mazito KUISHI kwingi, kuona mengi. Ndicho unachoweza kusema baada ya mchezaji Cicinho kuibuka na kufichua kwamba alikuwa akinywa bia 10 kwa siku na alikuwa akienda mazoezini kwenye kikosi chake cha Real...
Staa Isak hataki kutoa visingizio STRAIKA Alexander Isak amesema hana cha kujitetea juu ya kiwango kibaya kwenye mwanzo wa maisha yake huko Liverpool.
Mustakabali wa Pulisic AC Milan shakani, mazungumzo yasimama MAZUNGUMZO ya kuongeza mkataba ya winga wa AC Milan, Christian Pulisic na timu yapo shakani yakiwa yamesimama kwa sasa kutokana na kushuka kwa kiwango chake cha uchezaji, matatizo ya kimwili na...
Drogba atoa kauli nzito sakata la AFCON 2025 Mshambuliaji wa zamani wa Timu Ya Taifa ya Ivory Coast, Didier Drogba, ameonyesha kusikitishwa na uamuzi wa CAF kuwavua ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco kitendo alichotaja kinaathiri...
Juventus yaongoza mbio za kumuwania nyota Greenwood Marseille KINACHOELEZWA ni kwamba Mason Greenwood ameanza kuivutia Manchester United kumrejesha kikosini baada yab kuachana naye misimu mitatu iliyopita, kufuatia kasha ya kumpiga mpenziwe na kusababishia...
Mgogoro wa AFCON 2025, magwiji wa soka waishambulia CAF UAMUZI wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kuinyang’anya Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuikabidhi Morocco, umeibua mjadala mkubwa, huku magwiji wa soka duniani wakitoa maoni kinzani kuhusu...
Rosenior apewa mtego Chelsea KOCHA wa Chelsea, Liam Rosenior ni kama anategwa na mabosi wa timu hiyo ambao licha ya kumjadili na kuamua aendelee na timu hadi mwisho wa msimu, lakini inaelezwa akifuzu tu huenda akasakwa kocha...