De Ligt aiokoa Man United dakika za mwisho ugenini MPIRA wa kichwa wa dakika za mwisho kabisa kutoka kwa Matthijs de Ligt, uliiokoa Manchester United kukumbana na kichapo kutoka kwa Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu England uliofanyika...
Kocha wa Jamhuri ya Ireland afichua alichoambiwa na Ronaldo Kocha wa Jamhuri ya Ireland, Heimir Hallgrímsson, amefichua kile ambacho Cristiano Ronaldo alimwambia baada ya nyota huyo wa Ureno kupewa kadi nyekundu wakati wa mechi ya kufuzu Kombe la Dunia...
Maguire, Casemiro watikisa kimtindo NDO hivyo. Manchester United inaweza ikapata hasara ya kuwapoteza wachezaji wenye thamani ya Pauni 150 milioni bila ya kupata chochote wakati mikataba yao itakapofika tamati wakati wa dirisha...
Kocha England kuwaweka kitako mastaa wake KOCHA mkuu wa England, Thomas Tuchel amepanga kuzungumza na mastaa wake takriban 60 ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kikosi chake kitakachokwenda kwenye fainali za Kombe la Dunia 2026.
Msiogope! Kuna Hincapie pale kwa Gabriel BEKI wa kati wa Arsenal, Gabriel Magalhaes huenda akakaa nje ya uwanja kwa muda usiopungua wiki nne baada ya kupata maumivu ya misuli ya paja alipokuwa kwenye majukumu ya kuitumikia timu ya taifa...
Kocha Aston Villa afichua ishu ya Martinez KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery amethibitisha kwamba kipa Emi Martinez kwa sasa si nahodha msaidizi tena wa kikosi hicho cha Villa Park baada ya kuvuliwa kitambaa hicho kufuatia mchakato wake wa...
Mwamuzi wa Morocco kuamua Nigeria v DR Congo Mwamuzi wa Morocco, Jalal Jayed, ndiye atakayepuliza kipyenga katika mechi ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya Nigeria dhidi ya DR Congo itakayopigwa leo Jumapili, Novemba...
Mbappe aishika pabaya PSG, adai Pauni 200 milioni SUPASTAA straika, Kylian Mbappe anahitaji alipwe zaidi ya Pauni 200 milioni kutoka Paris Saint-Germain huku sakata hilo likifikishwa mahakamani.
Cantona ambabua tajiri Man United UNAMKUMBUKA nyota wa kifaransa aliyeweka heshima kubwa Manchester United? Eric Cantona, ndiye aliyekusudiwa hapa. Sasa jamaa huyo ameamua kumlipua bilionea wa klabu hiyo ya England. Sir Jim...