Amorim kumpa nafasi Bukayo Saka mpya KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim ameripotiwa kwamba yupo kwenye mipango ya kumpa nafasi ya kucheza kinda wa kikosi hicho cha Old Trafford ambaye analinganishwa kiuchezaji na winga wa...
Man United uhakika kwa Gyokeres MANCHESTER United wamepiga hatua kubwa katika mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres na kuna uwezekano wakaipiku Arsenal katika mbio za kumnasa raia huyo wa Sweden.
Kocha asababisha mpasuko Spurs TAARIFA za ndani kutoka Tottenham, zinaeleza wachezaji wa timu hiyo wamekasirishwa na kuondolewa kwa kocha wao Ange Postecoglou.
Wirtz amaliza utata Liverpool WAKATI Bayer Leverkusen ikiendelea msimamo wake wa kuhitaji zaidi ya Pauni 125 milioni ili kumuuza staa wao Florian Wirtz kwenda Liverpool, ripoti zinaeleza staa huyo amewaambia mabosi kuwa...
Barca hatarini kuadhibiwa na UEFA BARCELONA inakabiliwa na hatari ya kuadhibiwa na Shirikisho la Kandanda Ulaya (Uefa) baada ya kukiuka sheria za kifedha mwaka wa pili mfululizo.
PRIME Kumekuchaa! Kisa Dabi viongozi Yanga waitwa TPLB WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa juu wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB).
PRIME Siri imefichuka… Kilichombakisha Diarra hiki hapa YANGA ina uhakika sasa wa kuendelea kuwa na kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra baada ya mwenyewe kufanya uamuzi wa kubaki ndani ya timu hiyo.
Ronaldo aendeleza moto, Ureno ikiweka rekodi mpya Mabingwa hao wameongeza taji la tatu la kimataifa kwenye kabati lao, ikiwa ni pamoja na ubingwa wa EURO 2016.
Diogo Jota afariki kwa ajali, gari lawaka moto NYOTA wa Liverpool na timu ya taifa ya Ureno, Diogo Jota, ameripotiwa kufariki dunia katika ajali ya gari ikiwa ni siku 10 tu tangu afunge ndoa.
Kisa dili, Gyokeres aacha mchumba wake INAELEZWA straika wa Sporting Lisbon anayewindwa na Arsenal na Manchester United, Viktor Gyokeres ameachana na mpenzi wake raia wa Ureno, Ines Aguiar, hivi karibuni na sababu ikitajwa kuwa ni...