Sesko abadili upepo ghafla STRAIKA, Benjamin Sesko amechagua kujiunga na Newcastle United badala ya Manchester United, kwa mujibu wa ripoti kutoka Slovenia.
Antony agomea ofa ya tatu WINGA Antony amegomea nafasi nyingine ya kuondoka Manchester United kwa mara ya tatu dirisha hili la majira ya kiangazi akiendelea kushikilia msimamo wake wa kutaka kurudi Real Betis.
Mastaa United kuvishwa majaketi maalumu MASTAA wa Manchester United watafanya mazoezi wakiwa na jaketi maalumu za kupoza hali ya joto kali kwenye ziara yao ya pre-season huko Marekani.
Bado sana… Liverpool haijamaliza ishu ya Jota BAADA ya kujitoa kwa namba mbalimbali ikiwamo kustaafisha jezi yake, mabosi wa Liverpool bado wameona haitoshi kumuenzi staa wao Diogo Jota na sasa wamepanga kufanya mambo kadhaa ambayo yataacha...
Mbeumo bado anapikwa huko STAA mpya wa Manchester United, Bryan Mbeumo atalazimika kungoja kidogo kabla ya kucheza mechi yake ya kwanza kwa waajiri wake hao wapya.
Newcastle yamtenga Isak STRAIKA wa Newcastle na timu ya taifa ya Sweden, Alexander Isak amewekwa kando na kikosi cha kwanza na kuamriwa afanye mazoezi peke yake, pia akiondolewa katila hafla maalum ya familia...
Arteta atoa neno kiwango cha Gyokeres KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesisitiza mshambuliaji wao mpya, Viktor Gyokeres aliyesajiliwa kwa Pauni 64 milioni atakuwa kwenye 'hali nzuri sana' kabla ya kuanza kwa msimu ujao wa Ligi Kuu...
Sare yaipa matumaini Harambee Stars HARAMBEE Stars ya Kenya, imeonyesha kuitaka robo fainali ya michuano ya CHAN 2024 baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 dhidi ya Angola kwenye mechi ya Kundi A iliyopigwa Alhamisi usiku katika...
Chelsea yaibiwa kamera mazoezini CHELSEA imeripotiwa kupiga simu polisi kuripoti tukio la kupotea kwa kamera yenye thamani ya Pauni 30,000 kwenye uwanja wake wa mazoezi.
Arteta avaa gwanda kwa Nico Williams KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta anadaiwa kuwasiliana na wawakilishi wa winga wa Athletic Bilbao, Nico Williams, ikiwa ni katika mipango yake ya kutaka kumsajili katika dirisha la majira ya...