Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8783 results for Mwandishi :

  1. Hotuba ya AI, Cristiano Ronaldo ajitetea

    NYOTA wa soka duniani Cristiano Ronaldo amekiri kutumia teknolojia ya akili bandia (AI) kuandaa hotuba yake katika hafla ya utoaji tuzo za Portugal Football Globes, baada ya kupokea tuzo maalum...

    RONALDO Pict
  2. Arsenal yafanya mabadiliko makubwa

    ARSENAL imetangaza mabadiliko makubwa ya uongozi wa klabu huku Tim Lewis, ambaye amekuwa katika klabu kwa muda mrefu, akiaga nafasi yake ya makamu mtendaji.

    ARSENAL Pict
  3. Huyu Haaland hata Ronaldo chamtoto

    STRAIKA, Erling Haaland ameandika historia ya kibabe kabisa kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya ambayo hata supastaa Cristiano Ronaldo hakuwahi kuifikia baada ya kufunga dhidi ya Borussia Dortmund...

    HALAAND Pict
  4. Isak, Gyokeres wamponza kocha wa Sweeden

    SWEDEN imemfuta kazi kocha Jon Dahl Tomasson baada ya timu ya taifa kuwa na matokeo mabaya.

  5. PRIME Hersi, Arafat waachiwa msala hatima ya Folz Yanga

    PRESHA iliyopo ndani ya Yanga hivi sasa, inamfanya kocha mkuu wa kikosi hicho, Romain Folz kusikilizia hatima yake ndani ya timu hiyo. Hali hiyo imekuja kufuatia kundi kubwa la mashabiki...

  6. Gyokeres apiga mbili, Arsenal ikiichapa Atletico 4-0

    ARSENAL imefunga mabao manne ndani ya dakika 14 pekee ilipoichapa Atletico Madrid 4-0 na kuendeleza mwanzo wao mzuri katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa usiku wa...

  7. Doue ang’ara PSG ikishinda saba kwa Leverkusen

    Mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Paris Saint-Germain wametoa onyo kali baada ya kuibamiza Bayer Leverkusen mabao 2-7 na kufikisha ushindi wa tatu mfululizo katika michuano hiyo.

  8. Kane huyu siyo yule wa zamani

    STRAIKA Harry Kane amekuwa gumzo na kuwafanya watu waamini anaweza kubadili nafasi yake ya kucheza ndani ya uwanja na kisha akawasha moto baada ya kile alichokifanya dhidi ya Borussia Dortmund.

  9. Kocha Liverpool afichua kilichomsibu Alexander Isak 

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot amefichua sababu za mshambuliaji Alexander Isak kushindwa kuendelea na mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Eintracht Frankfurt ya Ujerumani iliyokubali kipigi...

    ISAK Pict
  10. Flick asema tena kuhusu Marcus Rashford

    KOCHA wa Barcelona, Hans Flick amesisitiza Marcus Rashford ni mchezaji muhimu sana katika mipango yake na siku hadi siku atazidi kuimarika na kuwa bora zaidi.

    RASHFORD Pict
Previous

Page 313 of 879

Next