Keane ashinikiza Amorim afukuzwe, ampendekeza Simeone Gwiji wa Manchester United, Roy Keane, ameutaka uongozi wa klabu hiyo kuachana na kocha Ruben Amorim haraka iwezekanavyo, ili kuinusuru timu hiyo ambayo imeanza vibaya msimu huu 2025-2026.
Staa avunjika mifupa ya shingo, hatarini kupooza NYOTA wa kimataifa wa Togo, Samuel Asamoah yupo katika hatari kubwa ya kupooza mwili mzima baada ya kujigongana vibaya katika bango la matangazo Uwanjani.
Ruto awapongeza, awazawadia wanamichezo Kenya RAIS wa Kenya, William Ruto amewapongeza na kuwapa zawadi za heshima wachezaji wa timu ya Harambee Stars iliyshiriki michuano ya CHAN 2024 na wanamichezo wengine akiwahakikishia mazingira bora...
Mukwala, Aucho upepo umebadilika, warejeshwa The Cranes SIKU tatu tu tangu kikosi cha timu ya taifa ya Uganda The Cranes kutangwazwa huku majina ya nyota wa zamani wa Yanga, Khalid Aucho na mshambuliaji wa Simba, Steven Mukwala kutojumuishwa upepo...
Fenerbahce yatua kwa Ederson, Donnarumma kicheko KWA mujibu wa ripoti, klabu ya Fenerbahce ya Uturuki sasa ipo katika mazungumzo ya kumsajili kipa wa Manchester City, Ederson hali inayoliweka hai dili la Gianluigi Donnarumma kutua jijini...
Howe atoa msimamo kwa Isak, saa zikizidi kukatika KOCHA wa Newcastle United, Eddie Howe bado hana uhakika juu ya mustakabali wa straika wa klabu hiyo Alexander Isak na ameweka wazi kuwa anaweza akarejea katika kikosi tena.
Kisa mechi ya ufunguzi, Shearer amvaa Alexander Isak LEJENDI wa Newcastle United, Alan Shearer amemkosoa straika wa timu hiyo, Alexander Isak baada ya kushindwa kucheza mechi ya ufunguzi wa Newcastle Ligi Kuu England dhidi ya Aston Villa ikiwa ni...
Kipigo kizito cha Vasco da Gama chamliza Neymar STAA wa Santos, Neymar alionekana akilia kwa uchungu baada ya timu yake kupokea kichapo cha mabao 6-0 kutoka kwa Vasco da Gama wikiendi iliyopita.
Mikel Arteta hajamaliza kusajili mjue! KOCHA Mikel Arteta bado anataka kuboresha kikosi chake kwenye wingi ya kushoto, lakini atahitaji kupiga bei mastaa kadhaa ili kuweza kusajili.
Carrick apigiwa debe Man United MANCHESTER United wameshaambiwa wafanye uamuzi wenye busara na kumchukua Michael Carrick ikiwa itaachana na Ruben Amorim.