Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8028 results for Mwandishi Wetu :

  1. Scholes: Kiwango cha Salah kimeporomoka, anacheza kawaida sana

    Gwiji wa Manchester United, Paul Scholes, ametoa maoni yake kuhusu nyota wa Liverpool, Mohamed Salah, akieleza licha ya kuwa mchezaji wa kiwango cha juu, wakati mwingine anacheza kawaida sana.

    SALAH Pict
  2. Ruud Gullit afichua sababu ya kutompigia kura Lamine Yamal

    Gwiji wa zamani wa AC Milan, Ruud Gullit ametaja sababu ya kutomchagua nyota wa Barcelona, Lamine Yamal, katika upigaji kura wa tuzo ya Kopa (mchezaji bora chipukizi duniani), licha ya kinda huyo...

    YAMAL Pict
  3. Henderson anajuta kuondoka Liverpool, afunguka yaliyomsibu Saudia

    Huenda kiungo Jordan Henderson akawa sehemu ya kikosi cha England kitakachoshiriki fainali za Kombe la Dunia 2026 chini ya kocha Thomas Tuchel, kufuatia kiwango bora anachoendelea kukionyesha...

    HERNDERSON Pict
  4. Promota Frank Warren afichua Tyson Fury kurudi ulingoni

    Promota wa masumbwi, Frank Warren, amethibitisha kuwa bingwa wa zamani wa uzani wa juu, Tyson Fury, anapanga kurejea ulingoni 2026.

    TYSON Pict
  5. Conor Mcgregor atiwa hatiani, UFC yamfungia miezi 18

    Conor McGregor amekubali adhabu ya kufungiwa kwa miezi 18 kushiriki katika mashindano ya Shirikisho la Mchezo wa Ngumi na Mateke (UFC) baada ya kukiuka sheria ya kupambana na dawa za kulevya ya...

    MCGREGOR Pict
  6. Wamiliki wa timu za NBA wanaoongoza kwa mshiko

    Kundi maarufu la hip hop Wu-Tang Clan liliwahi kuimba “cash rules everything around me.” likimaanisha pesa ndo mtawala wa kila kitu na ni wazi kwamba biti hili linaweza kutumika kuelezea maisha...

    NBA Pict
  7. FIFA yairuhusu Fountain Gate kusajili nje ya dirisha la usajili

    Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeridhia klabu ya Fountain Gate kufanya usajili nje ya dirisha la usajili

  8. Arsenal kuhamia Wembley kupisha maboresho Uwanja wa Emirates

    KLABU ya Arsenal huenda ikahamishia mechi zake zotw kwenye Uwanja wa Wembley, ili kupisha maboresho ya Uwanja wa Emirates, kwa mujibu wa ripoti mpya kutoka kwa The Telegraph.

    ARSENAL Pict
  9. Tajiri Brooklyn Earick akataa kuiuza Tottenham

    TAJIRI Brooklyn Earick ameamua kuondoa rasmi ofa yake ya Pauni 4.5 bilioni ya kuinunua klabu ya Tottenham Hotspur, baada ya familia ya Lewis kusisitiza hawatoiuza kwa pesa yoyote ile.

    SPURS Pict
  10. KMKM, Azam kuna mtu atashangazwa, rekodi zinaongea

    KIMAHESABU hadi sasa Tanzania imeshajihakikishia nafasi moja kati ya nne za kutinga makundi ya michuano ya kimataifa inayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) kwa msimu huu.

    FAMILIA Pict
Previous

Page 310 of 803

Next