Kufuzu Kombe la Dunia 2026, kocha Bafana Bafana aitisha Zimbabwe
Kocha wa Bafana Bafana, Hugo Broos, ameahidi kikosi chake kitapambana kama simba kitakapokutana na Zimbabwe katika mechi ya kufuzu Kombe la Dunia la FIFA 2026 kwenye Uwanja wa Moses Mabhida, leo...