Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DIKTA: Pep Guardiola kujijeruhi usoni iko hivi

    KABLA ya kufikia mwanzoni mwa wiki hii klabu ya Manchester City ya nchini England ilikuwa na hali ya kimfanano na klabu ya hapa nchini Yanga kwa timu hizo kupata matokeo mabaya mfululizo katika...

    Dokta Pict
  2. SPOTI DOKTA: Njia muafaka kuepuka maambukizi VVU michezoni

    Kila ifikapo Desemba Mosi, kila mwaka ni siku ya kimataifa ya Ukimwi duniani. Ni siku muhimu kwa wadau wote wa michezo kuungana kuhamasisha njia sahihi za kujikinga na VVU.

    DOKTA Pict
  3. SPOTI DOKTA: Bidhaa za tumbaku tishioo kwa wanasoka

    KATIKA taarifa ya utafiti iliyotolewa mwezi Mei 2024 na kuchapishwa na vyombo vikubwa vya habari nchini Uingereza ikiwemo Sky News, Reuters na The Mirror ilionyesha kuwa katika kila wanasoka...

  4. SPOTI DOKTA: Yanga, Man city hapa pametoboka

    HAPA nyumbani katika Ligi Kuu Bara mambo yamekuwa ndivyo sivyo upande wa mabingwa watetezi, Yanga baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo katika hali ambayo haikutarajiwa kutokana na ubora wa...

  5. Mateso ya Barca kwa Madrid yalipoanzia

    MOJA ya mechi bora ya soka duniani iliyowashika wadau wote wa soka hivi karibuni ni ile ya El Clasico iliyokutanisha miamba ya soka wa Hispania Real Madrid na Barcelona.

    Classico Pict
  6. SPOTI DOKTA: Sababu Rodri kuwa nje msimu wote, jeraha lake lipo hivi

    KIUNGO fundi wa Manchester City na timu ya Taifa ya Hispania, Rodrigo Hernández ataukosa mechi zote za msimu huu zilizobaki tangu aumie baada ya kufanyiwa upasuaji wa goti.

  7. SPOTI DOKTA: Tatizo la afya ya akili kwa wanasoka lipo hivi!

    OKTOBA 10 ya kila mwaka imetengwa kama Siku ya Kimataifa ya Afya ya Akili Duniani.

  8. Sababu za hasira, vurugu katika dabi

    SIKU zijazo mashabiki wa soka nchini watakuwa katika Uwanja wa Mkapa kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga inayotarajiwa kupigwa Oktoba 19. Dabi ya Kariakoo hubeba hisia mbalimbali...

  9. Exclusive... HADHARA Fundi wa danadana  anayeteseka kwa maradhi

    UMAARUFU sio utajiri na hakuna uhusiano kabisa, ukitaka kuamini hilo aliyekua Rais wa Uruguay, Jose Mujica alijulikana kama rais maskini zaidi duniani, licha ya kushika nyadhifa za juu za uongozi.

  10. Kwanini ngumi hii ilimkalisha Joshua?

    WIKIENDI iliyopita ilianza vizuri kwa wapenda burudani mara baada ya kuangalia mechi ya Yanga iliyoshinda mabao 6-0 dhidi ya CBE SA ya Ethiopia, huku Simba ikiing’oa Al Ahli Tripoli kwa mabao 3-1.

Previous

Page 4 of 14

Next