Amitabh Bachchan anazeeka na pesa zake KAMA ilivyo kwa mastaa wakubwa wa michezo waliostaafu lakini wanaendelea kunufaika kifedha kutokana na biashara na vyanzo vingine, ipo hivyo pia kwa msanii maarufu kutoka India, 'babu' Amitabh...
Simba ya meneja yafanya ukatili Eswatini SIMBA imetanguliza mguu mmoja kwenye hatua ya makundi baada ya kupata ushindi wa kishindo wa mabao 3-0 ugenini Eswatini dhidi ya Nsingizini Hotspurs katika mechi yao ya kwanza ya hatua ya pili ya...
Sinema nzima kufukuzwa kwa Ange ni hivi KOCHA raia wa Australia Ange Postecoglu anadaiwa kuwa alipewa taarifa ya kufutwa kazi akiwa njiani kuelekea katika vyumba vya kubadilishia nguo baada ya kumalizika mchezo wao wa Ligi Kuu England...
Guehi, Upamecano, Konate watajwa Real Madrid REAL Madrid imewaweka katika rada mabeki watatu ambao inaweza kuwasajili Januari mwakani au mwisho wa msimu huu ili kuboresha safu ya beki.
Lionel Messi azidi kuweka rekodi STAA wa kimataifa wa Argentina, Lionel Messi ameweka rekodi baada ya kushinda tuzo ya mfungaji bora wa Ligi Kuu Marekani , akimaliza msimu akiwa na mabao 29, akiwapiku Sam Surridge wa Nashville...
Nairobi United yawazima mabingwa wa zamani wa CAF WAWAKILISHI wa Kenya katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, Nairobi United jioni hii imewaduwaza mabingwa wa zamani wa Afrika, Etoile du Sahel ya Tunisia kwa kuichapa mabao 2-0.
Kadi nyekundu yamuibua Maresca, ang’ata na kupuliza KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca, alikosoa kadi nyekundu aliyoonyeshwa staa wake Malo Gusto, lakini pia alimsifu kwa kuchukua uamuzi uliosababisha kadi hiyo.
Shearer, Arteta watoa neno kwa Gyokeres STAA wa zamani wa Newcastle United, Alan Shearer anaamini straika wa Arsenal Viktor Gyokeres ataisaidia sana timu hiyo kwa kufunga mabao msimu huu, lakini hatoweza kufikia hata kidogo idadi ya...
Siri imefichuka! Matajiri Saudia wamshawishi Beckham dili la kuinunua Man United Gwiji wa Manchester United, David Beckham amependekezwa kushirikiana na kundi la mabilionea kutoka UAE (Falme za Kiarabu) ambao wanapanga kuwasilisha ofa ya kuinunua klabu ya klabu hiyo, kwa...