Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3932 results for Mwandishi Wetu :

  1. Chelsea, Gittens bado kidogo

    CHELSEA imefikia hatua nzuri ya kumsajili nyota wa Borussia Dortmund, Jamie Gittens ambaye atakuwa mchezaji wao wa tano dirisha hili la usajili la majira ya kiangazi, ikiwa ni katika harakati za...

    CHELSEA Pict
  2. Huu hapa mzigo wa Afrika Kombe la Dunia la Klabu

    WANASEMA nyumbani kwanza. Licha ya utitiri wa mastaa watakaokuwepo Marekani na timu mbalimbali kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia la Klabu, mashabiki wengi kutoka Afrika watakuwa na hamu ya...

    AFRIKA Pict
  3. PRIME Hoja sita kuamua Dabi ya Kariakoo

    WAKATI sintofahamu ikiendelea kutanda juu ya hatma ya mchezo wa Dabi ya Kariakoo, viongozi wa Yanga wameitwa makao makuu ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB).

    HOJA Pict
  4. PRIME Siri imefichuka… Kilichombakisha Diarra hiki hapa

    YANGA ina uhakika sasa wa kuendelea kuwa na kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra baada ya mwenyewe kufanya uamuzi wa kubaki ndani ya timu hiyo.

    DIARRA Pict
  5. Spurs kuitikisa Man United kwa Bryan Mbeumo

    KOCHA wa Brentford Thomas Frank, ambaye anatarajiwa kuchukua nafasi ya Ange Postecoglou kama kocha wa Tottenham, ameiambia timu hiyo kuwa anahitaji saini ya straika wa Brentford na timu ya taifa...

    FUNUNU Pict
  6. Mbappe amkataa Mo Salah

    STAA wa Real Madrid, Kylian Mbappe anaamini Mohamed Salah si miongoni mwa wachezaji wanaoweza kusumbua katika tuzo za Ballon d'Or ya mwaka huu na amemtaja ni mchezaji gani anampa nafasi ya kuchukua.

    MBAPPE Pict
  7. Arsenal 'kufungia mlango' wanne

    MKURUGENZI wa michezo wa Arsenal, Andrea Berta anataka kuwasainisha mikataba mipya nyota wanne wa timu hiyo baada ya kuanza na beki Gabriel Magalhaes aliyeongeza hadi mwaka 2029.

    ARSENAL Pict
  8. Al-Hilal, Osimhen kuna jambo

     KWA mujibu wa mwandishi wa habari wa Italia, Sacha Tavolieri ni kamba straika wa  Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen yuko karibu zaidi kukamilisha uhamisho wake wa kudumu...

  9. Wirtz amaliza utata Liverpool

    WAKATI Bayer Leverkusen ikiendelea msimamo wake wa kuhitaji zaidi ya Pauni 125 milioni ili kumuuza staa wao Florian Wirtz kwenda Liverpool, ripoti zinaeleza staa huyo amewaambia mabosi kuwa...

  10. Man United uhakika kwa Gyokeres

    MANCHESTER United wamepiga hatua kubwa katika mazungumzo ya kumsajili mshambuliaji wa Sporting Lisbon, Viktor Gyokeres na kuna uwezekano wakaipiku Arsenal katika mbio za kumnasa raia huyo wa Sweden.

Previous

Page 30 of 394

Next