Kipa Senegal auawa na watekaji baada ya familia kushindwa kulipa fedha za fidia
Jamii ya soka nchini Senegal, imo katika majonzi kufuatia mauaji ya golikipa chipukizi mwenye umri wa miaka 18, Cheikh Toure, ambaye aliuawa kikatili na watekaji baada ya familia yake kushindwa...