Mane ataja chanzo cha kugoma kutoka uwanjani fainalin AFCON Nyota wa Senegal, Sadio Mane amesema kuwa aliamua kuwakataza wenzake kugomea mechi ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco jana kwa vile tukio hilo linaharibu taswira ya soka.
Declan Rice ajiweka anga za wababe England DECLAN Rice amekuwa mchezaji wa tano Mwingereza kwa umri mdogo zaidi katika historia ya Ligi Kuu England kufikisha mechi 300.
Lejendi Liverpool atoa onyo dili la Semenyo LEJENDI wa Liverpool, Jamie Redknapp amesema staa wa Bournemouth, Antoine Semenyo bado anaweza kujiunga na Liverpool badala ya Manchester City, licha ya kuwa tayari yupo katika harakati za...
Amorim ahusishwa kibarua cha Mourinho RUBEN Amorim ameripotiwa yupo kwenye hatua nzuri ya kupata kazi mpya huko kwao Ureno ikiwa ni siku chache tu tangu alipofutwa kazi Manchester United, Jumatatu iliyopita.
Mourinho awalaza mastaa mazoezini JOSE Mourinho amewataka mastaa wa Benfica kulala kwenye uwanja wa mazoezi baada ya kichapo cha mabao 3-1 kutoka kwa Braga.
Utamu wa Ligi Kuu England na leo tena! BALAA hilo. Chelsea itakayokuwa bila ya huduma ya kocha wake mkuu, Enzo Maresca itakuwa na kasheshe zito huko Etihad itakapokwenda kukabiliana na Manchester City kwenye mchakamchaka wa Ligi Kuu...
Djigui Diarra mtu na nusu, aibeba Mali Afcon 2025 KIPA, Djigui Diarra amekuwa shujaa wa Mali iliyocheza na wachezaji 10 uwanjani baada ya kuokoa penalti mbili kuifanya timu yake kuichapa Tunisia na kutinga robo fainali ya mashindano ya Kombe la...
Jurgen Klopp anataka timu mbili tu HABARI ndo hiyo. Jurgen Klopp yuko tayari kurejea kwenye ukocha endapo tu atapata mojawapo ya nafasi mbili; kuinoa Real Madrid au timu ya taifa ya Ujerumani.
Kocha: Mbeumo anajipa presha mwenyewe KOCHA wa timu ya taifa ya Cameroon, David Pagou amesema mshambuliaji Bryan Mbeumo anapenda kucheza kwa uhuru, lakini kwa sasa anajiwekea presha kubwa sana katika harakati za kufanya vizuri kwenye...
Dembele anasakwa na Wasaudia MATAJIRI wa Ligi Kuu ya Saudi Arabia wanaandaa mikakati mikubwa dirisha lijalo la majira ya kiangazi ili kumsajili mshindi wa Ballon d’Or, Ousmane Dembele.