Mpango wa Villarreal vs Barcelona kuchezwa Marekani wafutwa Mechi ya La Liga kati ya Villarreal na Barcelona iliyokuwa ichezwe jijini Miami imeahirishwa, huku waandaaji wa tukio hilo, Relevent, wakisema hakuna muda wa kutosha kuandaa hafla hiyo.
Barca, Real Madrid mguu sawa kwa Marc Guehi BARCELONA na Real Madrid zinafuatilia kwa karibu suala la beki wa kati wa Crystal Palace na timu ya taifa ya England, Marc Guehi, 25, ambaye ameonyesha nia ya kutosaini mkataba mpya wakati ule wa...
Kocha Liverpool bado anamtetea Wirtz KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amemtetea kiungo wake ghali Florian Wirtz baada ya kushambuliwa sana kutokana na kuanza maisha yake Anfield kwa kasi hafifu.
Guardiola: Huyu Cherki anajua sana KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola akiri amekuwa akikoshwa sana na mchango unaofanywa na staa wake mpya, Rayan Cherki katika kikosi hicho cha Etihad.
Merino: Sina wasiwasi na Gyökeres, atafunga sana Nyota wa Arsenal, Mikel Merino anaamini kuwa mshambuliaji wa timu hiyo, Viktor Gyökeres, atang'ara klabuni hapo ikiwa atapewa muda zaidi, licha ya kuwa hajafunga bao katika mechi tisa mfululizo...
Nottingham Forest yamtangaza Sean Dyche, kuanza na FC Porto Hatimaye Nottingham Forest imemtangaza Sean Dyche kuwa kocha mpya wa kikosi hicho, ikiwa ni siku chache baada ya kumfuta kazi Ange Postecoglou.
Arsenal imejibu ishu ya Atletico Madrid, yataja wachezaji, viongozi Arsenal imeomba radhi kwa Atletico Madrid kufuatia klabu hiyo ya Hispania kulalamika ukosefu wa huduma ya maji ya moto, baada ya kufanya mazoezi yao kwenye Uwanja wa Emirates.
Man United wakali wa pira mipasi mirefu HABARI ndo hiyo. Manchester United ndiyo wafalme wa mipira mirefu kwenye Ligi Kuu England msimu huu.
Joto la El Clasico… Alonso ana jambo la kuamua, Trent, Carvajal watajwa Wakati Trent Alexander-Arnold alipoumia ghafla, ilionekana wazi huu ulikuwa wakati wa Dani Carvajal kuendelea kuonyesha ubora wake kwenye kikosi cha Real Madrid, baada ya kupona kufuatia kukaa...
Nchi nne zaomba kuandaa Kombe la Dunia Wanawake 2031 Maafisa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Marekani wamethibitisha kuwasilisha kwa pamoja zabuni ya kuandaa michuano ya Kombe la Dunia Wanawake 2031 na nchi za Mexico, Costa Rica na Jamaica.