Mgunda meno nje, akiisikilizia Yanga BAADA ya ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Magnet FC, Kocha Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda, amesema umerudisha morali kwa wachezaji ikijiandaa kuipokea Yanga keshokutwa Jumapili.
Kumbe Man United imemvutia waya Klopp NDO hivyo. Jurgen Klopp amekataa ofa kutoka Manchester United na pia angeweza kuwa kocha wa timu ya taifa ya England baada ya kuondoka kwa Gareth Southgate, anafichua wakala wake.
Kuna mtu anaamini Mo Salah habaki SUPASTAA, Mohamed Salah anaendelea kuhusishwa na mpango wa kuondoka Liverpool wakati wa dirisha lijalo la majira ya kiangazi, licha ya kurejea kwenye kikosi cha kwanza cha miamba hiyo ya Anfield.
Ronaldo amiliki timu Hispania SUPASTAA, Cristiano Ronaldo ameanza hatua zake za kwanza katika ulimwengu wa umiliki wa klabu za soka kwa kununua hisa asilimia 25 katika klabu ya Hispania, UD Almeria.
Haaland ataja magwiji anaowaiga kupiga mabao STRAIKA la mabao, Erling Haaland amefichua supastaa Robin van Persie ni mmoja wa washambuliaji aliowafuatilia kwa karibu kwa ajili ya kujifunza na kukuza kipaji chake.
Man City waambiwa Pep Guardiola apewe kazi mpya KOCHA Stuart Pearce amewaambia mabosi wa Manchester City kuhakikisha wanafikiria kumbakiza Pep Guardiola klabuni kama mkurugenzi wa michezo pale atakapoamua kuachia ngazi ya ukocha mkuu.
Mamadou Gaye awatuliza mashabiki Nigeria, aitaka FIFA kuamua MTAALAMU wa soka barani Afrika, Mamadou Gaye, amewaomba wadau wa soka kuendelea kuwa wavumilivu wakati Nigeria ikisubiri uamuzi kutoka FIFA katika kesi dhidi ya DR Congo inayodaiwa kukiuka...
Cornel amrithi Almas Kasongo TPLB ALIYEKUWA mkurugenzi wa Fedha wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Cornel Barnabas, ameteuliwa kuwa ofisa mtendaji mkuu wa Bodi ya Ligi Tanzania (TPLB).
Morocco yashinikizwa kuwaachia waliohukumiwa AFCON 2025 MAMIA ya wananchi nchini Senegal, wameingia mitaani katika Jiji la Dakar kwa lengo la kuishinikiza Serikali ya Morocco kuwaachia huru mashabiki 18 wa soka wa nchi hiyo wanaotumikia vifungo...
Hali ya kiusalama Mashariki ya Kati yatishia mechi za Nigeria kufutwa MECHI za kimataifa za kirafiki kati ya timu ya taifa ya Nigeria maarufu Super Eagles dhidi ya Iran na Jordan zilizopangwa kuchezwa mwezi huu, huenda zikafutwa kutokana na hali mbaya ya kiusalama...