Bafana Bafana yamtia mashaka kocha Broos KOCHA wa Bafana Bafana, Hugo Broos, ana wasiwasi kuhusu kushindwa kwa timu yake kukosa ukatili wa kumaliza mechi katika nyakati muhimu wakati ikishiriki mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika...
Hossam Hassan atisha watu mtoano AFCON 2025 KOCHA Mkuu wa Misri, Hossam Hassan amesema kucheza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kila baada ya miaka miwili huzivutia ligi za Ulaya, huku akisisitiza kikosi chake kipo imara...
Lionel Messi atia neno sakata la AFCON 2025 Mjadala mkali umeendelea kushika kasi kufuatia sintofahamu inayoizunguka michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), huku wadau wa soka barani Afrika na duniani wakionyesha wasiwasi kuhusu...
Zidane kulamba dili jipya Ufaransa KOCHA na mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa, Zinedine Zidane anatarajia kupata kazi mpya baada ya kufikia makubaliano ya mdomo ili kumaliza siku 1,727 za bila ajira.
Wanne washikwa mkono gofu kimataifa WAKATI mashindano ya gofu kwa chipukizi Afrika yakianza jana Jumatatu nchini Kenya, Benki ya NCBA imejitolea kuwadhamini watoto wanne watakaoiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo.
Simu yamponza Depay, mwenyewe afafanua STRAIKA wa Corinthians ya Brazil, Memphis Depay amelazimika kutoa ufafanuzi baada ya kuonekana akitumia simu akiwa benchi baada ya kuambiwa aache kufanya hivyo.
Mlango wazi kwa Endrick nchini Brazil SUPASTAA wa kimataifa wa Brazil, Endrick, amekuwa gumzo nchini Ufaransa baada ya kiwango chake bora akiwa na Lyon katika Ligi Kuu nchini humo, ambayo anaichezea kwa mkopo akitokea Real Madrid.
Kwa nini ni wakati sahihi kwa TFF kupata mshirika wa kamari? Wadau wa soka wanasema kuwa sasa ni wakati mwafaka kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kushirikiana rasmi na kampuni ya kamari kama sehemu ya jitihada za kuhuisha uongozi na kufungua vyanzo...
Tajiri Leon Cooperman anunua hisa Man United MFANYABIASHARA wa Marekani Leon Cooperman amenunua hisa zaidi za Manchester United, lakini hana mpango wa kuchukua umiliki kamili wa klabu hiyo.
Morocco bado inautolea macho uenyeji Kombe la Dunia la Klabu 2029 NCHI ya Morocco bado ina dhamira ya kuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Dunia la Klabu 2029 kwa kushirikiana na Hispania, ikiamini imekidhi vigezo vyote vya kupewa nafasi hiyo na Shirikisho la...