Misri, Sauzi zapenya Dube akiaga Afcon 2025 TAWANDA Maswanhise amefunga bao matata kabisa wakati Zimbabwe ikichapwa 3-2 na Afrika Kusini na hivyo kutupwa nje ya mashindano ya Afcon 2025 yanayoendelea huko Morocco.
Kiungo wa boli aikacha Kenya ili akipige na Dube KIUNGO mzaliwa wa Kenya, Jonah Fabisch amefunguka uamuzi wake wa kuitumikia Zimbabwe kwenye soka la kimataifa na kuikacha Harambee Stars.
Senegal yapiga tatu, Jackson atupia mbili MABINGWA wa Afcon 2021, Senegal wameanza kwa kishindo msako wa kusaka ubingwa wa Afcon 2025 baada ya kuitandika Botswana mabao 3-0 katika mchezo wa Kundi D uliofanyika uwanjani Stade Ibn-Batouta,...
Burkina Faso yashinda kwa mabao ya jioniii BURKINA Faso ilifunga mara mbili ndani ya dakika za majeruhi kupindua meza dhidi ya Equatorial Guinea na kushinda 2-1 katika mchezo wa Kundi E mashindano ya Afcon 2025 uliofanyika uwanjani Stade...
Henry ampasha Arteta hatutaki kisingizio THIERRY Henry amemwambia Kocha Mikel Arteta majeruhi hayawezi kuwa kisingizio cha kufanya vizuri kwani kinachotakiwa msimu huu Arsenal ni lazima ishinde ubingwa wa Ligi Kuu England.
Steve Barker kocha mpya Simba SC KLABU ya Simba, leo Ijumaa, Desemba 19, 2025 imemtangaza Steve Barker kutoka Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu mpya.
Arteta awatishia watu Gyokeres KOCHA Mikel Arteta amewaonya wapinzani wa Arsenal kwenye mbio za ubingwa straika wake butu kwa sasa, Viktor Gyokeres atawasha moto kwenye mzunguko wa pili msimu huu.
Noela avunja mkataba, sasa kutimkia Lithuania BEKI kisiki wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Noela Luhala amevunja mkataba na klabu ya 1207 Antalya Spor ya Uturuki kwa makubaliano ya pande mbili na kwa sasa anajiandaa kutimkia...
Duh! Terry kapitia wakati mgumu sana BEKI wa boli, John Terry amefunguka msongo wa mawazo uliomkabili kiasi cha kufikiria kujitoa uhai baada ya kukosa penalti katika mechi ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baina ya Chelsea na...
Shabiki adai... Ukiwa na Osimhen unaongoza 1-0 SHABIKI wa kutupwa wa Galatasaray amepeleka mapenzi yake kwa mshambuliaji wa Super Eagles, Victor Osimhen, nje ya mipaka ya Istanbul, imeripotiwa.