Antonio Conte afunguka ishu ya McTominay KOCHA wa Napoli, Antonio Conte, amesema hana shida kabisa na huduma ya kiungo wake, Scott McTominay kutokana na kile anachofanya uwanjani, huku akimweka kando kwenye orodha ya wachezaji ambao...
Carragher: Liverpool? Haya ni majanga BEKI wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amekiri klabu yake hiyo ya zamani ipo kwenye kipindi kigumu baada ya kupoteza mechi nne mfululizo Ligi Kuu England na hivyo kuachwa pointi kibao na...
Ratcliffe akataa dili la Robert Lewandowski MMILIKI mwenza wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, ameripotiwa kuzuia mpango wa klabu hiyo kumsajili mshambuliaji mkongwe wa Barcelona na timu ya taifa ya Poland, Robert Lewandowski, 37...
Kylian Mbappe aingia anga za kibabe SUPASTAA, Kylian Mbappe ameingiza jina lake kwenye orodha ya mastaa matata kabisa waliowahi kucheza kwa viwango vya kibabe kwenye mechi za El Clasico.
Staa kasema... Huyu Ni Welbeck Mtupu! KWELI akutukanaye hakuchagulii tusi. Kuna gwiji mmoja wa Ligi Kuu England ameibuka na kudai straika Viktor Gyokeres yupo kwenye viwango sawa na Danny Welbeck na hastahili kuwekwa kwenye kundi la...
Mechi 5 zitakavyoamua vita ya Arsenal, Man City, Liverpool England WIKIENDI ilikuwa tamu kwa Arsenal ilipofufua matumaini yao ya kunyakua taji la Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza tangu 2004.
Arteta: Mastaa wangu watatu wagonjwa KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha wachezaji wake watatu kupata majeraha kwenye mechi ya ushindi dhidi ya Crystal Palace kwenye Ligi Kuu England, jana Jumapili, Oktoba 26.