Ronaldo: Man United kwa Amorim msitegemee miujiza Cristiano Ronaldo amesema kwamba meneja wa Manchester United, Ruben Amorim, hawezi kufanya miujiza na kwamba klabu hiyo haipo kwenye njia sahihi.
Liverpool yarudi katika ubora wake ikiichapa Real Madrid Liverpool imerudi katika kiwango chake cha juu ilipoitandika Real Madrid kwa mchezo wa kuvutia na kupata ushindi muhimu wa Ligi ya Mabingwa nyumbani kwenye uwanja wa Anfield usiku wa Novemba 4...
Diaz atupia mbili, aambulia kadi nyekundu Bayern ikiilaza PSG Mabao mawili ya Luis Díaz yameisaidia Bayern Munich iliyomaliza na wachezaji 10 kuendeleza mwanzo wao mzuri kwa kueashinda mabingwa watetezi wa Ulaya, Paris Saint-Germain (PSG).
Arsenal yashinda na kuifikia rekodi ya miaka 122 MIKEL Merino amefunga mabao mawili wakati Arsenal ikiibuka na ushindi mnono wa 0-3 dhidi ya Slavia Prague katika hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, mechi ikichezwa Fortuna Arena, leo...
Napoli yashindwa kufunga tena ikitoka suluhu na Frankfurt NAPOLI imeshindwa kufunga kwa mara ya pili mfululizo baada ya mabingwa hao wa Italia kulazimishwa matokeo ya suluhu nyumbani dhidi ya Eintracht Frankfurt kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa...
Guardiola: Hawa Arsenal wana balaa KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri kwamba Arsenal haikamatiki kwa sasa wakati chama hilo la Mikel Arteta likiweka pengo la pointi sita kileleni kwenye msimamo wa Ligi Kuu England.
Kikosi bora cha kulipwa hiki hapa MASTAA wawili wa England, Jude Bellingham na Cole Palmer wametajwa kwenye Kikosi Bora cha Wanasoka wa Kulipwa Cha Mwaka 2025 (2025 Fifpro World Best XI).
Wakanyaga pedeli tajiri zaidi muda wote duniani KATIKA kila ulimwengu wa mchezo husika kuna wababe wake uwanjani ambao ndiyo walioukamata na majina yao hutajwa kwa mengi hasa namna wanaocheza. Lakini, kila mchezo una kipato chake.
Morocco haendi Morocco, ni zamu ya Gamondi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Kocha Miguel Gamondi kuwa kaimu kocha mkuu wa timu ya taifa (Taifa Stars), akichukua nafasi ya Hemed Suleiman ‘Morocco’.