Dabi ya Mashemeji yaahirishwa kutokana na ukosefu wa uwanja
Mechi ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu ya Kenya kati ya mahasimu wakuu, Gor Mahia na AFC Leopards, iliyotarajiwa kuchezwa Jumamosi Novemba 29, 2025, imeahirishwa kutokana na kukosekana kwa uwanja.