Mtoto wa tajiri aibuka Man United EDWARD Glazer, mmoja wa ndugu watano wenye hisa nyingi kwenye umiliki wa klabu ya Manchester United, amebainisha juu ya mpango wa familia hiyo ya Kimarekani juu ya kutathmini mustakabali wa klabu...
Kocha mpya Kenya Police atamba kufuata nyayo za Ndayiragije Kocha mpya wa Kenya Police FC, Dusan Stojanovic, ametamba kufuata nyayo za mtangulizi wake, Etienne Ndayiragije, kwa kuhakikisha anatetea ubingwa wa Ligi Kuu ya Kenya (KPL) msimu huu 2025-2026.
DAH! Gyokeres shida bado iko palepale STRAIKA, Viktor Gyokeres amewekwa kando kwenye kikosi cha Sweden kitakachocheza mechi za kufuzu Kombe la Dunia dhidi ya Slovenia na Uswisi baadaye mwezi huu kutokana na kuwa majeruhi.
Arsene Wenger aponda usajili wa Wirtz Liverpool NGULI wa soka, Arsene Wenger amesema Liverpool imeamua kuiharibu safu yao ya kiungo bora kabisa kwa uamuzi wao wa kumsajili Florian Wirtz kama Namba 10 mpya msimu huu huku Mjerumani huyo...
Kipchoge akataa kustaafu riadha, kuja kivingine Bingwa wa mara mbili wa mbio za marathon za Olimpiki, Eliud Kipchoge mwenye umri wa miaka 40, amejiweka miongoni mwa wanariadha bora zaidi katika historia ya mchezo wa riadha duniani huku akiwa...
Rais Real Madrid atoa uamuzi wa mwisho mustakabali wa Vinícius Jr Klabu ya Real Madrid imeweka wazi msimamo wake kuhusu hatma ya kiungo mshambuliaji kutoka Brazil, Vinícius Jr.
FIFA yatangaza tuzo mpya ya amani, kutolewa Desemba 5, 2025 Shirikisho la Mpira wa Miguu la kimataifa (FIFA) limetangaza kuanzisha Tuzo ya Amani ya FIFA (FIFA Peace Prize), ambayo itatolewa kwa mara ya kwanza wakati wa droo ya Kombe la Dunia Desemba 5...
Barcelona yamchukiza Henry, amkosoa Hansi Flick Nyota wa zamani wa Barcelona, Thierry Henry, amemkosoa kocha wa sasa wa klabu hiyo, Hansi Flick, baada ya kikosi chake kulazimisha sare ya mabao 3–3 dhidi ya Club Brugge katika Ligi ya Mabingwa...
Achraf Hakimi ajiweka njia panda AFCON 2025 Nahodha na beki wa pembeni wa timu ya taifa ya Morocco, Achraf Hakimi, yupo njia panda kushiriki fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) zitakazofanyika nchini kwao, baada ya kuumia...
Kenya kuandaa mashindano ya kikapu wanawake, wanaume KENYA imechaguliwa kuwa mwenyeji wa mashindano mawili makubwa barani Afrika ya mpira wa kikapu wanawake (WBLA) na wanaume (Road to Basketball Africa League Elite 16) jijini Nairobi.