Man United mzuka mwingi dili la Mbeumo NDO hivyo. Brentford imeshamtambua mchezaji ambaye inamtazama kuwa mwafaka wa kuja kuchukua mikoba ya Bryan Mbeumo, ambaye anahusishwa na mpango wa kutua Manchester United kwenye dirisha hili la...
Kumbe Chelsea haina tiketi 2029 CHELSEA haijafuzu fainali zijazo za Kombe la Dunia la Klabu licha ya kushinda ubingwa wa michuano ya kwanza ya mashindano baada ya kufanyiwa mabadiliko.
PRIME Mfaransa aanika dili la Yanga SC YANGA ilikuwa na hesabu na makocha wawili raia wa Ufaransa, lakini mmoja amefunguka sababu zilizomfanya kurudi nyuma kukubaliana na dili hilo.
Manchester City kuacha mastaa kibao MANCHESTER City iko tayari kuwaruhusu baadhi ya nyota wake waliowahi kung’ara kuondoka katika dirisha hili la majira ya kiangazi, ikiwamo John Stones na Ilkay Gundogan, ikiwa ni muendelezo wa...
Hugo Ekitike kufosi dili la Liverpool STRAIKA, anayesakwa kwa nguvu zote na Liverpool, Hugo Ekitike ameripotiwa kuiandikia Eintracht Frankfurt barua ya kuomba kuondoka ili kukamilisha ndoto zake za kwenda kukipiga huko Anfield.
Mbeumo kupewa jezi anayoipenda STAA, Bryan Mbeumo anatarajia kwenda kukabidhiwa jezi Namba 19 atakapojiunga na Manchester United, kutokana na namba huyo kuwa wazi huko Old Trafford.
Man United, Brentford zakubaliana kwa Mbeumo MANCHESTER United imefikia makubaliano na Brentford dili la kumsajili Bryan Mbeumo baada ya mazungumzo ya zaidi ya mwezi mmoja.
Azizi Ki, Ronaldo lolote litatokea KIUNGO wa zamani wa Yanga, Stephen Aziz Ki huenda akacheza timu moja na Ronaldo baada ya staa wa kimataifa wa Morocco, Nordin Amrabat kuthibitisha uvumi kuwa timu yake mpya, Wydad Casablanca...
Bruno apewa muda wa kufikiria MATAJIRI wa Saudi Araia, Al-Hilal wanadaiwa kuwasilisha ofa nyingine mpya na kumpa muda zaidi kiungo wa Manchester United, Bruno Fernandes kufikiria na kuamua ikiwa atakuwa tayari kujiunga nao...
Mo Salah mchezaji bora wa mwaka SUPASTAA wa Liverpool, Mohamed Salah amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Chama cha Waandishi wa Habari huko England baada ya staa huyo wa Misri kupigiwa kura zaidi ya asilimia 90.