Mikel Arteta ana kazi kubwa ya kufanya Arsenal KWA mara ya kwanza baada ya wiki kadhaa, Mikel Arteta ataketi kitako kuchambua mechi ya Arsenal ambayo imeshindwa kupata ushindi.
FIFA yampa Kizuguto mechi za lawama, Nigeria v Gabon Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limemteua Mtanzania Baraka Kizuguto kuwa Mratibu Mkuu wa mechi za mchujo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa kanda ya Afrika ambazo zitafanyika...
MAYWEATHER VS PACQUIAO: Miaka 10 tangu pambano la karne! ACHANA na lile pambano la ‘The Rumble in the Jungle’ lililopigwa Oktoba 30, 1974 nchini Zaire (sasa DR Congo) kati ya Muhammad Ali dhidi ya George Foreman ambalo ndilo linalotajwa kuwa bora la...
Arsenal ilipoishia njiani rekodi ya kutoruhusu mabao “WASHAMBULIAJI wanashinda mechi, mabeki wanashinda mataji.” Hayo ni maneno ya gwiji, Sir Alex Ferguson.
Ishu ya ubingwa EPL, kompyuta imeganda kwa Arsenal KOMPYUTA janja bado imeitabiria Arsenal kunyakua ubingwa wa Ligi Kuu England msimu huu mbele ya Manchester City.
Mapumziko Ligi Kuu yakawe neema kwa timu zote KALENDA ya Shirikisho la Kandanda Duniani (FIFA), imeleta mapumziko mafupi katika ratiba ya Ligi Kuu Bara, na huu ni wakati muhimu sana kwa timu zote kufanya tathmini ya mwenendo tangu ligi ianze.
Sneijder achambua kinachomtesa Wirtz STAA wa zamani wa Real Madrid na Galatasaray, Wesley Sneijder amefunguka kumzungumzia kiungo ghali wa Liverpool, Florian Wirtz, ambaye amesema amekuwa kwenye wakati mgumu kuzoea mazingira ya Ligi...
Tottenham yashikilia msimamo kwa Rodrygo TOTTENHAM bado inatamani sana kumsajili mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Rodrygo, mwenye umri wa miaka 24, dirisha lijalo la majira ya baridi.
Jeremy Doku awapagawisha makocha KIWANGO bora cha Jeremy Doku wa Manchester City kwenye mechi ya Liverpool kimewakosha makocha wa timu zote mbili na kummwagia sifa kwa kile alichofanya uwanjani.