Mashabiki watukutu waandaliwa mpango kabambe FIFA Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limetangaza vita dhidi ya mashabiki wa soka ambao watakuwa wanatumia mchezo huo kufanya vitendo vya unyanyasaji katika viwanja vya soka na mitandao ya...
Kocha Super Eagles aishutumu DR Congo kwa ‘uchawi’ Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria, Eric Chelle, ameishtumu DR Congo kwa kutumia ‘uchawi’ wakati wa mikwaju ya penalti katika mechi ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026...
Kichapo cha DR Congo bado kinamuuma Stanley Nwabali Kipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali amekiri kuumizwa na matokeo ya mechi ya mwisho ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, ambayo alishuhudia wakichapwa kwa penalti 4-3 dhidi ya DR Congo...
Jude amtibua Thomas Tuchel, ampa makavu yake Kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel amemtaka kiungo Jude Bellingham kuheshimu uamuzi wa benchi la ufundi, ili kuleta mazingira chanya ya ushirikiano ambayo yataendelea kuleta furaha...
Babu Ferguson akubali mziki wa Lammens SIR Alex Ferguson amesifu kiwango cha kipa Senne Lammens akisema anapiga kazi si mchezo na hivyo kujitengenezea nafasi ya kuanza golini kwenye kikosi cha Manchester United.
Slot apewa ujanja wa kumtema Salah KOCHA Arne Slot amepewa ujanja anaweza kutumia michuano ya Afcon kama nafasi muhimu kwake kufanya jaribio la kumtoa Mohamed Salah kwenye mipango yake katika kikosi cha Liverpool.
Terry aibua upya suala la Abramovich ALIYEKUWA beki wa kati wa Chelsea, John Terry ameamua kuishambulia serikali ya Uingereza baada ya kumlazimisha bilionea Roman Abramovich kuipiga bei The Blues baada ya Russia kuivamia kijeshi...
Gabriel azua presha Arsenal ARSENAL inakabiliwa na pigo kubwa hasa katika kuelekea kipute chao cha North London derby baada ya beki wa kati Gabriel Magalhaes kulazimika kutoka uwanjani kwenye mechi ya kimataifa baina ya...
Mainoo atakiwa kwa mkopo wa miezi sita WEST Ham United imeripotiwa kuwa na mpango wa kumpa kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo kichaka cha kukimbilia ikimhitaji kwa mkopo wa miezi sita baada ya kuwa na wakati mgumu huko Old...