Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7993 results for Mwandishi Wetu :

  1. Mashabiki watukutu waandaliwa mpango kabambe FIFA

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) limetangaza vita dhidi ya mashabiki wa soka ambao watakuwa wanatumia mchezo huo kufanya vitendo vya unyanyasaji katika viwanja vya soka na mitandao ya...

  2. Kocha Super Eagles aishutumu DR Congo kwa ‘uchawi’

    Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Nigeria, Eric Chelle, ameishtumu DR Congo kwa kutumia ‘uchawi’ wakati wa mikwaju ya penalti katika mechi ya fainali ya mchujo wa kufuzu Kombe la Dunia 2026...

    UCHAWI Pict
  3. Kichapo cha DR Congo bado kinamuuma Stanley Nwabali

    Kipa wa timu ya taifa ya Nigeria, Stanley Nwabali amekiri kuumizwa na matokeo ya mechi ya mwisho ya kufuzu Kombe la Dunia 2026, ambayo alishuhudia wakichapwa kwa penalti 4-3 dhidi ya DR Congo...

    NWABALI Pict
  4. Jude amtibua Thomas Tuchel, ampa makavu yake

    Kocha wa timu ya taifa ya England, Thomas Tuchel amemtaka kiungo Jude Bellingham kuheshimu uamuzi wa benchi la ufundi, ili kuleta mazingira chanya ya ushirikiano ambayo yataendelea kuleta furaha...

    JUDE Pict
  5. PRIME Pacome, Doumbia wamtikisa Kocha Mreno

    Soma hapa

    PACOME Pict
  6. Babu Ferguson akubali mziki wa Lammens

    SIR Alex Ferguson amesifu kiwango cha kipa Senne Lammens akisema anapiga kazi si mchezo na hivyo kujitengenezea nafasi ya kuanza golini kwenye kikosi cha Manchester United.

    FERGUSON Pict
  7. Slot apewa ujanja wa kumtema Salah

    KOCHA Arne Slot amepewa ujanja anaweza kutumia michuano ya Afcon kama nafasi muhimu kwake kufanya jaribio la kumtoa Mohamed Salah kwenye mipango yake katika kikosi cha Liverpool.

    SALAH Pict
  8. Terry aibua upya suala la Abramovich

    ALIYEKUWA beki wa kati wa Chelsea, John Terry ameamua kuishambulia serikali ya Uingereza baada ya kumlazimisha bilionea Roman Abramovich kuipiga bei The Blues baada ya Russia kuivamia kijeshi...

    TERRY Pict
  9. Gabriel azua presha Arsenal

    ARSENAL inakabiliwa na pigo kubwa hasa katika kuelekea kipute chao cha North London derby baada ya beki wa kati Gabriel Magalhaes kulazimika kutoka uwanjani kwenye mechi ya kimataifa baina ya...

    GABRIEL Pict
  10. Mainoo atakiwa kwa mkopo wa miezi sita

    WEST Ham United imeripotiwa kuwa na mpango wa kumpa kiungo wa Manchester United, Kobbie Mainoo kichaka cha kukimbilia ikimhitaji kwa mkopo wa miezi sita baada ya kuwa na wakati mgumu huko Old...

    FUNUNU Pict
Previous

Page 258 of 800

Next