Baleba kuvunja kibubu Man United MANCHESTER United italazimika kulipa ada itakayovunja rekodi ya uhamisho kama inataka saini ya kiungo wa Brighton, Carlos Baleba kwenye dirisha hili la uhamisho.
Sesko kulamba Shilingi 500 milioni kwa wiki BENJAMIN Sesko atajiunga na Manchester United akiwa mchezaji wa nane anayelipwa mshahara mkubwa licha ya kusajiliwa kwenda kubeba majukumu ya kuongoza safu ya ushambuliaji ya miamba hiyo ya Old...
Duh! Enrique analeta dharau kwa Liverpool KOCHA wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique amesema Liverpool na Lille “zinafanana” huku akidai ushindi ilioupata timu yake dhidi ya Lille wa mabao 4-1 Jumamosi iliyopita ilikuwa ni mazoezi tu.
Mbappe ampiku Ronaldo, amfukuzia Ronaldo WIKIENDI iliyopita, mshambuliaji wa Real Madrid, Kylian Mbappe alivunja rekodi ya ufungaji ya Ronaldo de Lima baada ya kufunga mabao mawili ya haraka dhidi ya Villarreal.
Mkosi bado unamwandama Dele Alli IKIWA ni katika nyakati ambazo ilionekana kwamba anaweza akaanza upya, tabu zimezidi kumwandama mshambuliaji wa zamani wa Tottenham, Dele Alli baada ya kutolewa kwa kadi nyekundu katika mchezo...
Odegaard kama kawakodi Chelsea KIUNGO fundi wa mpira, Martin Odegaard anaendeleza rekodi zake tamu kabisa dhidi ya Chelsea tangu alipojiunga na Arsenal.
Rooney: Tuanze upyaa LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney, amedai kwamba timu hiyo inahitaji kufanya "mabadiliko makubwa" ili kupata mafanikio, akiamini kikosi cha sasa hakina kiwango cha kuwafikisha nchi ya...
Singida BS yatangulia robo, yaing'oa KMC BAO la kujifunga la kipindi cha kwanza la beki wa KMC, Abdallah Said 'Lanso' limeiwezesha Singida Black Stars kuungana na JKT Tanzania na Mbeya City kuwa za kwanza kukata tiketi ya kucheza robo...
Duh! Kocha wa Lyon afungiwa miezi tisa KOCHA wa Olympique Lyon, Paulo Fonseca amefungiwa soka kwa miezi tisa baada ya kumvaa kimwili mwamuzi.
Neymar na dada’ke imetokea tena GUNDU la siku ya kuzaliwa dada yake Neymar limemkumba tena supastaa huyo wa Kibrazili ambapo kwa mara ya 10 fowadi huyo anakosa mechi na kushindwa kutumikia timu yake kwenye siku ya sherehe ya...