Amitabh, Shah Rukh Khan wamlilia Dharmendra SAA chache baada ya mwigizaji mkongwe wa filamu, Dharmendra, kufariki dunia nyumbani kwake leo Jumatatu, Novemba 24, ikithibitishwa na Shirika la Habari la IANS, rafiki yake wa muda mrefu na...
Shearer aiponda beki Man City GWIJI wa zamani wa Newcastle United, Alan Shearer ameionya beki ya Manchester City inaweza ikaharibu matumaini ya miamba hiyo kutwaa taji la Ligi Kuu England.
Simulizi la Dharmendra na ndoa ya wake wawili GWIJI wa filamu za kidosi amedondoka. Ndiyo, Dharmendra aliiaga dunia jana asubuhi, huku akiacha kilio kwa familia, ndugu jamaa na mashabiki wa filamu waliozishuhudia kazi zake kuanzia miaka ya...
Kocha Liverpool agomea tuzo KIPIGO cha mabao 3-0 ilichopata Liverpool kutoka kwa Nottingham Forest mechi ya Ligi Kuu England, Jumamosi iliyopita, kimemvuruga kocha wa majogoo hao, Andre Slot na kuzisusia tuzo zilizokuwa...
Ronaldo aonyesha ubora: ‘Bicycle Kick’ yaleta ushindi wa 4–1 kwa Al-Nassr Mshambuliaji mkongwe Cristiano Ronaldo ameendelea kudhihirisha kuwa bado ana ubora wa hali ya juu baada ya kufunga bao maridadi la ‘Bicycle Kick’ katika ushindi wa 4–1 wa Al-Nassr dhidi ya...
Kocha Spurs ataja siri ya kichapo cha Arsenal Kocha wa Tottenham Hotspurs, Thomas Frank, amekiri kikosi hicho kilicheza chini ya kiwango, hali iliyosababisha kupoteza mechi ya Dabi ya London ya Kaskazini dhidi ya Arsenal iliyoibuka na...
JACKIE CHAN: Fundi aliyegoma kuacha pesa AKIWA na umri wa miaka 71, ambao watu wengi walitegemea kuona akipumzika baada ya kutumika kwa muda mrefu katika kiwanda cha uigizaji wa filamu na kutengeneza utajiri mkubwa, Jackie Chan...
Mke wa Jux, Omoni Oboli wang’ara Nigeria MWANADADA Priscilla Ojo, mke wa nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, Jux sambamba na Omoni Oboli wameng’ara katika hafla ya tukio maalumu la BOZ ‘Love & Boz Circle-Prive lililofanyika...
Shambulio, utekaji vyamuibua Davido SUPASTAA na mkongwe wa muziki aliyeshinda tuzo nyingi, Davido amekemea kuhusu utekaji wa wasichana 25 katika jimbo la Kebbi na shambulio lililotokea Kwara.
Amorim kasema... hakuna kupoa MANCHESTER United inashiriki mchuano mmoja tu wa Ligi Kuu England, lakini huko mazoezini ratiba yao ni kama inacheza michuano mingine mikubwa Ulaya.