Courtois majanga tena, kukaa nje miezi miwili Kipa wa Real Madrid Thibaut Courtois atakuwa nje kwa miezi miwili baada ya kupata majeraha akiwa mazoezini leo mchana.
Ali Kamwe aaga Jangwani, ataja sababu Ofisa Habari ya Yanga, Ali Kamwe amejiuzulu nafasi ya umeneja habari na mawasiliano wa Yanga huku Akitaja sababu ya kumaliza muda wake ikiwa ni muda mchache baada ya wana jangwani hao kuishushia...
Simba Queens yaambulia sare, kuikabili Kenya Police Bullets Wawakilishi wa Tanzania Bara katika michuano ya timu za soka za wanawakw ukanda wa Cecafa, Simba Queens wamemaliza kibabe mechi za makundi kwa kulazaimishwa sare ya 2-2 dhidi ya PVP Buyenzi ya...
Familia ya Mandojo yataja msiba ulipo Msiba wa mwanamuziki na mfanyabiashara, Joseph Francis maarufu Mandojo kwa siku ya leo upo Dodoma kwa ajili ya taratibu nyingine za mazishi.
Morrison adaiwa kudakwa na Polisi, kisa shabiki wa Yanga Muda mfupi baada ya kumalizika mchezo wa Yanga dhidi ya Simba mshambuliaji wa Simba, Bernard Morrison amefikishwa kituo cha Polisi kwa madai ya kumshambulia mtu.
Simba yaatangaza uzi mpya kimataifa KLABU ya Simba imetangaza jezi mpya watakazotumia kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika ambapo wao wanaanzia ugenini kucheza na Plateau United ya Nigeria.
Ukata wasogeza mbele Kombe la Chalenji Katibu wa CECAFA, Nicholas Musonye adokeza kuwa wapo katika mazungumzo na wafadhili.
Libolo na timu ya Okwi zapeta CAF ETOILE du Sahel ya Tunisia anayoichezea Emmanuel Okwi imeshinda mabao 2-1 kwenye mechi ya Kombe la Shirikisho huku Recreativo Libolo
Samatta akimbiza MBWANA Samatta ‘Samagol’ juzi alianzishwa kwa mara kwanza kikosi cha kwanza cha Genk ya Ubelgiji na hakumuangusha kocha, baada ya kufunga bao lililoisaidia klabu hiyo kupata ushindi wa mabao 4-1.
Diamond Platnumz atajwa na CNN orodha ya wasanii bora 10 Afrika Shirika la Utangazaji CNN limetaja wanamuziki bora 10 barani Afrika, akiwemo msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz.