Slot apongezwa kumpiga benchi Mo Salah! KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepongezwa kwa uamuzi wake wa kumpiga benchi supastaa Mohamed Salah akielezwa kufanya hivyo kutamsaidia winga huyo kurejea kwenye makali yake.
Camavinga atua katika anga la Liverpool, dau kumvuta latajwa LIVERPOOL inaandaa ofa ya Pauni 52.5 milioni ili kumsajili kiungo wa Real Madrid, Eduardo Camavinga, 23.
Huyu Lionel Messi ana balaa kubwa! SUPASTAA Lionel Messi amezidi kutanua rekodi yake ya kuwa mchezaji aliyebeba mataji mengi zaidi kwenye historia ya mchezo wa soka duniani baada ya kuiongoza Inter Miami kunyakua ubingwa wa...
Sh317 milioni zatua Ligi ya Kikapu Taifa LIGI ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) inayoendelea kuchezwa kwenye Uwanja wa Chinangali mkoani Dodoma imelamba udhamini wa Sh317,025,900 kutoka kampuni ya BetPawa.
Maresca: Hincapie? Ile ni kadi nyekundu KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amelalamika kwenye mechi ya dhidi ya Arsenal, timu zote mbili zilipaswa kumaliza zikiwa na wachezaji 10 uwanjani.
Msala wa Arsenal mechi zijazo ARSENAL na Chelsea imeshindikana kupata mbabe katika kipute chao cha Jumapili iliyopita kwenye Ligi Kuu England baada ya kutoka sare ya bao 1-1 uwanjani Stamford Bridge, matokeo yanayoiweka The...
McTominay aambiwa ni Barca, Madrid tu KUNA minongono kwenye klabu za Ligi Kuu England kuhusu shujaa wa Scotland, Scott McTominay, huku Everton ikidaiwa kuwa mstari wa mbele katika msako wa saini ya kiungo huyo.
Amorim akiri kuiba ujuzi kwa wapinzani KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema kwa kutania timu yake inaiba mbinu za kufunga mabao yatokanayo na mipira ya adhabu kutoka kwa wapinzani wao kwenye Ligi Kuu England.