Unai Emery afunguka kitu Aston Villa KOCHA wa Aston Villa, Unai Emery kwa hasira amesema timu yake haina nafasi ya kumaliza ndani ya tano bora baada ya Thierno Barry kuisababishia kipigo kwenye mchezo wa Ligi Kuu England.
Mane ataja chanzo cha kugoma kutoka uwanjani fainalin AFCON Nyota wa Senegal, Sadio Mane amesema kuwa aliamua kuwakataza wenzake kugomea mechi ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco jana kwa vile tukio hilo linaharibu taswira ya soka.
Bifu la Scholes, Martinez limefikia patamu balaa KUMEKUCHA. Mvutano kati ya Paul Scholes na beki wa Manchester United, Lisandro Martinez hauonekani kumalizika hivi karibuni baada ya gwiji huyo wa Old Trafford kujibu kwa mzaha kupitia mitandao...
Senegal yabeba ubingwa Afcon 2025 Senegal imeichapa Morocco na kushinda Kombe la Mataifa ya Afrika kwa mara ya pili, lakini baada ya fainali hiyo kuchafuliwa na tukio la kuondoka kwa wachezaji wa Simba wa Teranga uwanjani wakati...
Fei Toto amebakiza mawili tu Bara BAO la pili lililofungwa na kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ katika dakika ya 35 wakati timu hiyo ikiizamisha Coastal Union kwa mabao 3-0 juzi usiku kwenye Uwanja wa Azam...
Hussein Masalanga atua Yanga KLABU ya Yanga, imemchukua kwa mkopo wa miezi sita golikipa wa Singida Black Stars, Hussein Masalanga ambaye atahudumu kikosini hapo hadi mwisho wa msimu huu.
Jean-Philippe Mateta akaribia kumalizana na Juventus JUVENTUS wameongeza kasi katika harakati za kumsajili mshambuliaji wa Crystal Palace na Ufaransa, Jean-Philippe Mateta, 28, baada ya kufanya mazungumzo rasmi na mawakala wake Ijumaa ya wiki...
Kocha Crystal Palace awachana matajiri KOCHA wa Crystal Palace, Oliver Glasner amesema viongozi wa timu hiyo wamewatelekeza yeye pamoja na wachezaji hali inayoendelea kuzorotesha kiwango cha timu kila siku.
Joshua aanza tizi, kuhusu kustaafu sikia hii BAADA ya tetesi zilizodai anaweza akastaafu, Bondia raia wa England, Anthony Joshua amechapisha kwa mara ya kwanza video za mazoezi yake tangu apate ajali mbaya ya gari iliyosababisha vifo vya...