Tatizo la umeme laiponza Dodoma Jiji, yapokwa pointi tatu KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Oktoba 27, 2025, imefikia uamuzi wa kuipa Pamba Jiji pointi tatu na mabao matatu kutokana na...
Orlando Pirates yapindua meza, yang'oka Ligi ya Mabingwa Afrika LICHA ya kulipa kisasi dhidi ya FC Lupopo ya DR Congo kwa kupata ushindi wa mabao 3-0 jioni hii katika pambano la marudiano la raundi ya pili ya Ligi ya Mabingwa Afrika, lakini vigogo hivyo vya...
Rais Barcelona ashtukia jambo, atupa kombora Real Madrid Rais wa Barcelona, Joan Laporta, ameishambulia klabu ya Real Madrid kwa madai ya kujaribu kuwatuhumu marefa kabla ya mechi ya El Clásico itakayopigwa leo Jumapili, Oktoba 26, 2025.
Slot: Hii haijawahi kutokea hapa Liverpool BAADA ya kupoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Brentford jana Jumamosi, Oktoba 25, Kocha wa Liverpool, Arne Slot amefunguka mechi hiyo ndiyo ilikuwa ya kwanza kwa wachezaji wake kucheza vibaya zaidi...
Kocha Manchester City hataki Haaland apumzike KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola amekiri anaumia sana kuona straika wake Erling Haaland akicheza mechi nyingi mfululizo, lakini hawezi kumpumzisha kwa sasa.
Kisa umaarufu, McTominay ataka kurudi England KIUNGO wa Napoli na timu ya taifa ya Scottland, Scott McTominay inadaiwa anaweza kurejea Ligi Kuu England mwakani kutokana na changamoto nyingi anazopitia nje ya Uwanja zinazosababishwa na...
Kilimanjaro FF yashika nafasi ya tatu Ligi Daraja la Sita Sweden TIMU ya Kilimanjaro FF inayomilikiwa na kuendeshwa na Watanzania waishio nchini Sweden, imeshika nafasi ya tatu katika Ligi ya Daraja la Sita kwenye Jiji la Stockholm katika msimu wa 2024-2025...
FIFA yatangaza mashindano mapya Kusini-Mashariki mwa Asia Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, ametangaza kuanzishwa kwa mashindano mapya ya kandanda ya kanda yatakayohusisha nchi zote 11 za Kusini-Mashariki mwa Asia.
Vitendo vya Carvajal, Lamine vyamchukiza De Jong Kiungo wa Barcelona Frenkie de Jong amemkosoa beki wa pembeni wa Real Madrid, Dani Carvajal, kufuatia kitendo chake cha kumchokoza Lamine Yamal, baada ya mechi ya El Clasico jana Jumapili, Oktoba...
Carragher: Liverpool? Haya ni majanga BEKI wa zamani wa Liverpool, Jamie Carragher amekiri klabu yake hiyo ya zamani ipo kwenye kipindi kigumu baada ya kupoteza mechi nne mfululizo Ligi Kuu England na hivyo kuachwa pointi kibao na...