Timu 12 Ulaya zapiga hodi Man United kumtaka Kobbie Mainoo KIUNGO wa Manchester United na timu ya taifa ya England, Kobbie Mainoo, 20, anawindwa na timu 12 Ulaya ambazo zinasubiri kwa hamu kuona kama mabosi wa Man United watakuwa tayari kumwachia staa...
Caicedo ni pengo kubwa Chelsea CHELSEA iliweza kupambana jino kwa jino na vinara wa Ligi Kuu England, Arsenal baada ya kumpoteza kiungo Moises Caicedo, lakini ilikuja kuonyesha kiwango cha hovyo dhidi ya timu inayopambana...
Amorim asema kitu kuhusu Mainoo KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekubali kwamba kitendo cha Kobbie Mainoo kukosa muda wa kutosha wa kucheza umemfanya mchezaji huyo aathirike kisaikolojia.
Trent ni majanga baada majanga BEKI wa kulia, Trent Alexander-Arnold atakuwa nje ya uwanja kwa muda usiopungua miezi miwili baada ya kuumia mguu wakati wa mchezo wa Real Madrid ilipoichapa Athletic Bilbao mabao 3-0.
Majeruhi wamtia presha Arteta ARSENAL imepoteza mechi yake ya kwanza tangu Septemba baada ya kulala 2-1 dhidi ya Aston Villa Jumamosi na kuleta presha katika mbio za ubingwa wa Ligi Kuu England.
KMC yaachana na Maximo baada ya siku 131 SIKU 131 zimetosha kwa Marcio Maximo kuwa Kocha wa KMC, baada ya klabu hiyo leo Desemba 6, 2025 kutangaza kusitisha mkataba wake.
AFCON 2025: Mwali atasakwa kwenye nyasi hizi HAZIZIDI wiki mbili kabla ya kuanza kwa mchakamchaka wa mashindano ya Afcon 2025 huko Morocco na hamu ya wengi ipo kwenye viwanja venye viwango vya dunia vitakavyotumika kwenye michuano mikubwa...
Makundi ya mtego, visasi Kombe la Dunia Makundi ya Fainali za Kombe la Dunia 2026 yamejulikana rasmi leo, Ijumaa, Desemba 5, 2025 baada ya kukamilika kwa droo ya upangaji wake iliyofanyika huko Washington DC, Marekani.
Wenger kawajaza England, kisha kawakataa KOCHA, Arsene Wenger amesema England inaweza kushinda Kombe la Dunia, lakini amekiri kikosi cha Three Lions haina ubora kama Ufaransa.