FIFA yaifungia Biashara kusajili Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) imeifungia klabu ya Biashara United ya Mara kusajili wachezaji kwa madirisha mawili.
Mauya: Tulieni mambo bado KWA jinsi walivyotengenezwa pacha kali, wakicheza kwa mara ya kwanza viungo wa Yanga, Zawadi Mauya na Abubakar Salum ‘Sure’ imekuwa ndio habari ya mjini kwa mashabiki wao.
Wanigeria wa Yanga wafundwa KABLA ya kuwavaa Yanga, Rivers United wamewekwa kitako juzi na kufundwa sheria zote za mpira wa miguu zilizorekebishwa. Habari zinasema uongozi ulifanya hivyo juzi ukihofia lolote linaweza...
Mastaa sita KMC pancha KMC FC inakabiliwa na changamoto ya wachezaji sita tegemeo ambao ni majeruhi ndani ya kikosi hicho ambapo kwasasa wanaendelea na matibabu,kwa mujibu wa Ofisa Habari, Christina Mwagala.
JKT watamba kuendeleza ushindi kwa Yanga Timu hiyo inasaka ushindi kwenye kila mchezo ili kujinasua kwenye mstari wa kushuka daraja.
Morocco haendi Morocco, ni zamu ya Gamondi Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Kocha Miguel Gamondi kuwa kaimu kocha mkuu wa timu ya taifa (Taifa Stars), akichukua nafasi ya Hemed Suleiman ‘Morocco’.
TAARIFA KWA UMMA Tunasikitika kuwaarifu wasomaji wetu wapendwa kuwa tunalazimika kusitisha uchapishaji wa maudhui mtandaoni kuanzia sasa kufuatia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kusitisha leseni zetu za...
Balaa la Bundesliga, La Liga usipime! UTAMU kolea. Ndicho unachoweza kusema kuhusu vipute vya wikiendi hii kwenye La Liga na Bundesliga.
Fadlu Davids aihofia KenGold ataja ugumu ulipo Kocha wa Simba, Fadlu Davids amesema kuwa timu yake inaingia kwa tahadhari kubwa katika mechi dhidi ya Kengold kesho katika Uwanja wa KMC Complex, Mwenge licha ya wapinzani wao kushika mkia...
Oxlade-Chamberlain bado kidogo asepe zake huko STAA, Alex Oxlade-Chamberlain yupo kwenye hatua za mwisho za kuachana na Besiktas ya Uturuki.