Kocha Chelsea afichua jambo zito KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesema siku mbili zilizopita zilikuwa ‘mbaya zaidi’ katika kipindi chake cha ukocha wa klabu hiyo, akidai kuwa alikosa sapoti kutoka kwa baadhi ya watu wa timu hiyo.
Mashabiki wataka tiketi Kombe la Dunia 2026 zisiuzwe tena MASHABIKI wa soka wenye hasira wametaka uuzaji wa tiketi za Kombe la Dunia 2026 usitishwe mara moja kutokana na bei za kinyonyaji.
Aliyeandaa ziara ya Messi India akamatwa MRATIBU wa ziara ya Lionel Messi nchini India amekamatwa kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano zaidi kutokana na vurugu zilizozuka wakati wa ziara ya staa huyo iliyofanyika kwenye Uwanja wa Salt Lake...
Mbadala wa Xabi Alonso kapatikana Real Madrid REAL Madrid imeanza tayari mchakato wa kutafuta kocha mpya ambaye atachukua mikoba ya Xabi Alonso endapo timu hiyo itaendelea kupata matokeo mabovu.
Kali za 2025, huko mitandaoni zimekimbiza balaa MWAKA 2025 unaisha na baadhiya wasani wakijivunia mafanikio walyoyapata, ukifunga pia milango kwa wasani wachanga akiwamo Dogo Paten.
Vigogo wanaopewa nafasi ya kupenya kwenye kila kundi Afcon 2025 WIKI moja tu imebaki kabla ya kuanza kwa mchakamchaka wa mashindano ya soka ya kusaka ubingwa wa Afrika.
Vardy amegoma kuzeeka Serie A STRAIKA veterani, Jamie Vardy amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwezi Novemba kwenye mikikimikiki ya Serie A kutokana na kiwango chake matata kabisa anachokionyesha huko Cremonese.
Jesus ni mwendo wa kusoma Biblia tu STAA wa Arsenal, Gabriel Jesus amefichua amekuwa kwenye mashaka makubwa kwa miezi 11 iliyopita.
Scholes amshambulia vikali Ruben Amorim GWIJI wa Manchester United, Paul Scholes ameibuka na kumshambulia kocha wa sasa wa timu hiyo, Ruben Amorim, sio mtu sahihi wa kuinoa klabu hiyo.
Hersi kushiriki kongamano la FIFA, Qatar leo SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA), limemchagua Rais wa Klabu ya Yanga na Mwenyekiti wa Umoja wa Klabu Afrika (ACA), Eng. Hersi Said kuwa miongoni mwa wataalam watakaofundisha...