Yanga, Simba zafuzu Ligi ya Mabingwa Yanga na Simba zimekata rasmi tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao baada ya kila moja kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 katika mechi zilizocheza dhidi ya timu za Azam na Mtibwa...
Mvua, radi zatishia mechi ya Uholanzi na Tunisia MECHI ya Kombe la Dunia 2026 inayozikutanisha Uholanzi na Tunisia, ilikuwa katika hatari ya kuahirishwa dakika chache kabla ya kuanza baada ya mamlaka za hali ya hewa kuonya kuhusu uwepo wa mvua...
Beki wa Inter Milan matatani BEKI wa Inter Milan, Alessandro Bastoni, anaripotiwa kuchunguzwa na polisi wa Italia kama sehemu ya uchunguzi unaohusiana na tuhuma za mtandao wa ukahaba unaowahusisha watoto.
Brighton yavunja benki kwa Luka Vuskovic BRIGHTON imekubaliana na Tottenham Hotspur kumsajili beki wa Croatia, Luka Vuskovic, kwa ada ya rekodi ya klabu ya pauni46 milioni.
Elton John kutumbuiza hata baada ya kifo chake MWANAMUZIKI nguli wa Uingereza, Elton John anatarajiwa kuendelea kuwaburudisha mashabiki wake hata baada ya kifo chake baada ya kuripotiwa kusaini mkataba wa mamilioni ya Pauni wa matumizi ya...
Dube aachana na Yanga, arejea Zimbabwe MSHAMBULIAJI Prince Dube, amepiga chini ofa tatu na kufanya uamuzi mgumu wa kurejea kwao Zimbabwe akisaini mkataba wa miaka miwili timu iliyopanda daraja kushiriki Ligi Kuu nchini humo.
ASANTENI WADAU, ILIKUWA SAFARI POA! kuuzwa Kanda ya Pwani ambapo nakumbuka kuna wakati idadi ya mauzo ilipanda hadi nakala 14,000 kwa kila toleo, likaenezwa kote nchini ambapo lilipokewa vizuri. Kuna mengi ambayo sitaweza kuyataja...
SOMOE NG’ITU: Ndoto ilianzia kuwa rubani hadi ubosi soka la wanawake KUNA wanawake wanaosubiri bahati na kuna wanaoijenga kwa mikono yao kwa kuthubutu kuandika hatima zao upya pale ndoto zinapobadili mwelekeo.
PRIME Ghafla nimemkumbuka Mino Raiola, kiboko ya hofu zetu kuwavuruga. Nashangaa sasa hivi anayetamba katika masuala ya uhamisho wa wachezaji ni mtu anayeitwa Fabrizio Romano ambaye ni mwandishi wa habari. Zamani, kabla umauti haujamkumba, Mino...
TUONGEE KISHKAJI: Wanamuziki wanaoandika sana wanahitaji huruma yetu ninaowapenda wanajua sana kuandika na binafsi nadhani kwenye uandaaji wa muziki, uandishi ni kitu kigumu zaidi ya vyote. Hata hivyo, nyimbo zilizoandikwa sana mara nyingi huhitaji umakini kwenye...