Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8529 results for Mwandishi Wetu :

  1. Walipa kodi mashuhuri Ligi Kuu England

    STAA wa Manchester City, Erling Haaland anaongoza katika orodha ya wachezaji wa Ligi Kuu England waliolipa kodi kubwa zaidi, takribani Pauni 16.9 milioni mwaka jana.

    KODI Pict
  2. Arsenal yarudisha makali, yaichapa Leeds kwao

    ARSENAL imekomesha mfululizo wa mechi tatu bila ushindi kwenye Ligi Kuu England baada ya kuibabua Leeds United mabao 4-0 katika Uwanja wa Elland Road, Jumamosi.

  3. Arne Slot akubali kukosolewa

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot, anakiri kuwa ni haki kupuuzia mafanikio ya msimu uliopita na kumhukumu yeye binafsi kwa misingi ya msimu wa sasa pekee, huku presha ikizidi kumkabili Mdachi huyo...

  4. Declan Rice ajiweka anga za wababe England

    DECLAN Rice amekuwa mchezaji wa tano Mwingereza kwa umri mdogo zaidi katika historia ya Ligi Kuu England kufikisha mechi 300.

  5. Carrick afunguka ishu ya Fernandes

    KOCHA wa muda wa Manchester United, Michael Carrick anasisitiza kuwa watasubiri hadi Juni mwaka huu ili kuamua mustakabali wa nahodha wao, Bruno Fernandes.

  6. Kazini kwa Gyokeres kuna kazi

    STRAIKA Viktor Gyokeres ni rahisi tu kusema kazini kwake kuna kazi baada ya magwiji tofauti wa Ligi Kuu England kumsakama wakidai “hana kile kinachohitajika” kuifanya Arsenal iwe mabingwa, kwa...

  7. Aliye ‘inyonga’ Azam kuchezesha Yanga na Ahly leo

    Refa kutoka Cameroon Antoine Effa Essouma ndiye atachezesha mechi ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu baina ya Yanga na Al Ahly, leo Jumamosi, Januari 31, 2025 katika Uwanja...

  8. Rekodi hii ya Mbappe Madrid, Ronaldo akasome

    Zaidi ya nusu ya mabao ya Real Madrid katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu yamefungwa na Kylian Mbappe, huu ni wastani mkubwa zaidi wa mabao kufungwa na mchezaji mmoja katika historia ya klabu...

  9. Real Madrid ingemsikiliza Ronaldo ingekuwa na kikosi hiki 2018

    SUPASTAA Cristiano Ronaldo ni mmoja wa wachezaji bora zaidi katika historia ya Real Madrid na kama vigogo hao wa Hispania wangesikiliza ushauri wake mwaka 2018, basi wangekuwa na kikosi cha...

    RONALDO Pict
  10. Ukisikia wameondoka mwisho wa msimu Huu  usishtuke!

    MASTAA hawa 10 wa Ligi Kuu England ambao wote waliwahi kushinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Msimu katika klabu zao baadhi hata msimu uliopita tu, lakini sasa wanaweza kuwa njiani kuondoka mwishoni...

    WANAONDOKA Pict
Previous

Page 222 of 853

Next