Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7977 results for Mwandishi Wetu :

  1. Majembe Ligi Kuu Bara ndani ya AFCON 2025

    LIGI Kuu Bara kwa sasa imesimama kupisha Fainali za Mataifa Afrika (AFCON 2025) zitakazoanza Jumapili wiki hii nchini Morocco.

    LIGI AFCON Pict
  2. Maresca afunguka majanga yake Chelsea

    KOCHA Enzo Maresca amesema yupo na furaha kubwa huko Chelsea, lakini amegoma kupuuzia malumbano yake na mabosi kwenye kikosi hicho cha Stamford Bridge.

  3. Mashabiki Simba, Yanga kuonyeshana umwamba

    Mashabiki wa Simba na Yanga watacheza mechi ya kirafiki, Jumapili, Desemba 21, 2025 kwa lengo la kuhamasisha upendo na umoja baina yao.

  4. Nigeria, Misri kucheza mechi ya kirafiki leo

    Timu ya Taifa ya Nigeria, Super Eagles, itashuka dimbani leo Jumanne, Desemba 16, 2025 kuivaa timu ya taifa ya Misri, Pharaohs katika mechi ya kimataifa ya kirafiki kwa ajili ya kujiandaa na...

    MISRI Pict
  5. Morocco yaongoza mbio za ubingwa AFCON 2025

    Kompyuta mahiri ya takwimu ya Opta Supercomputer, imetoa utabiri wa mataifa yenye nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, mashindano yatakayoanza wikiendi hii...

    MOROCCO PIct
  6. Wanajeshi watakaotoana jasho Afcon 2025

    NI mwendo wa kuhesabu siku tu kabla ya kuanza kwa mashindano ya Afcon 2025 huko Morocco. Mikikimikiki hiyo ya kusaka ubingwa wa Afrika itahusisha timu 24 zilizopangwa kwenye makundi sita.

    VIKOSI Pict
  7. Moyes hofu tele kumkosa Grealish

    KOCHA, David Moyes amethibitisha kuwa Jack Grealish anasumbuliwa na maumivu ya misuli ambayo yatawaacha kwenye pigo kubwa.

  8. Man United imempa presha Carlos Baleba

    KIUNGO wa Brighton, Carlos Baleba amekiri kwamba tetesi za kutakiwa na Manchester United zilimfanya kuwa na presha kubwa na kumfanya aanze msimu kwa kiwango chenye wasiwasi.

  9. Arteta: Gyokeres? Wenzake ndo shida

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amemtetea straika Viktor Gyokeres kwa kiwango chake alichokionyesha dhidi ya Wolves na badala yake amewaangushia mzigo mastaa wenzake katika kikosi hicho cha Emirates.

  10. Spurs waambiwa mpeni kazi Klopp

    ALIYEKUWA mmiliki wa Tottenham Hotspur, Lord Alan Sugar amewataka mabosi wa sasa wa timu hiyo kumwajiri kocha Jurgen Klopp ili kwenda kukinoa kikosi hicho.

Previous

Page 222 of 798

Next