Man United yamaliza utata dili la Bruno MANCHESTER United imechukua hatua kuhakikisha inamaliza sintofahamu kuhusu mustakabali wa nahodha wao wa raia wa Ureno, Bruno Fernandes.
Lamine hatarani kukosa Kombe la Dunia 2026 STAA wa Barcelona na timu ya taifa ya Hispania, Lamine Yamal huenda akashindwa kushiriki michuano ya Kombe la Dunia mwaka huu baada ya kupata majeraha yaliyosababishwa atolewe Uwanjani huku...
Tchouameni aomba radhi baada ya ugomvi wa Valverde SIKU moja baada ya taarifa ya Federico Valverde kufuatia ugomvi kati yake na Aurélien Tchouameni huko Valdebebas, Hispania, kiungo huyo wa Ufaransa amevunja ukimya kupitia ujumbe mzito kwenye...
Iran yakamia Kombe la Dunia 2026 SHIRIKISHO la Soka la Iran limethibitisha rasmi timu ya taifa ya nchi hiyo itashiriki mashindano ya Kombe la Dunia mwaka huu, licha ya mvutano mkubwa wa kisiasa na kijeshi unaoendelea katika...
Winga Mzambia atoka hospitali baada ya kuzirai uwanjani Winga wa Zambia, Lameck Banda, amerejea nyumbani salama baada ya kupata tatizo la moyo wakati wa mechi ya Serie A kati ya Lecce na Napoli.
Fabregas ruksa kwenda Chelsea KOCHA wa Como, Cesc Fabregas ambaye anatajwa kuwa mmoja kati ya makocha wanaoweza kuchukua nafasi ya kuifundisha Chelsea baada ya kuondoka kwa Liam Rosenior, amepewa ruhusa ya kuondoka na mabosi...
Man United kupiga chini nyota 13, Rashford, Casemiro watajwa MANCHESTER United inajiandaa kufanya mabadiliko makubwa ya kikosi msimu huu wa kiangazi na jumla ya wachezaji 13 wanatarajiwa kuondoka.
Drogba: Kufanya kazi kwa bidii ndio ufunguo wa mafanikio Timu ya mpira wa kikapu ya Dar City ilipata mualiko wa kuhudhuria uwasilishwaji wa bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo jana katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Kifo cha Ashly Robinson Zanzibar chazua maswali, familia yataka ukweli Wazazi wa Ashly Robinson, ambaye alikuwa mshawishi wa mitindo ya maisha kutoka Marekani aliyefariki dunia akiwa na umri wa miaka 31 katika mazingira yanayotajwa kuwa na utata visiwani Zanzibar...
Rooney aishauri Arsenal kucheza kibabe kuizuia Man City GWIJI wa Ligi Kuu England na Manchester United, Wayne Rooney amewashauri wachezaji wa Arsenal 'kucheza kwa nguvu na kibabe' ili waweze kuifunga Manchester City katika pambano muhimu la ubingwa wa...