Baada ya Steve Barker kutambulishwa Simba, Stellenbosch yatoa tamko KLABU ya Stellenbosch kutoka Afrika Kusini, imetoa tamko ikithibitisha kuwa, Steve Barker amejiuzulu nafasi yake ya Kocha Mkuu ili kuchukua jukumu jipya la kuinoa Simba SC ya Tanzania.
Madrid yaanza kujipanga kwa Ruben Neves REAL Madrid ni miongoni mwa klabu zinazotajwa kufikiria kutaka kumsajili kiungo wa Al-Hilal na timu ya taifa ya Ureno, Ruben Neves, mwenye umri wa miaka 28.
Jipindue uchekwe! EPL lazima kieleweke MSIMAMO wa Ligi Kuu England unavyosoma, Arsenal ipo kileleni kwa tofauti ya pointi mbili dhidi ya Manchester City.
Uhondo wa AFCON 2025 unaanza hivi NGOJA tuone. Ndicho unachoweza kusema kwa sasa, wakati mashindano ya kusaka ubingwa wa Afrika yakianza huko Morocco, Jumapili.
Afcon ilipogeuka kuwa sherehe ya mabao MASHINDANO ya soka ya kusaka ubingwa wa Afrika (AFCON) mara zote limekuwa jukwaa la mambo mengi ya kustaajabisha, ufundi na ustadi mkubwa katika soka la kushambulia na kushuhudia sherehe za mabao.
Steve Barker kocha mpya Simba SC KLABU ya Simba, leo Ijumaa, Desemba 19, 2025 imemtangaza Steve Barker kutoka Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu mpya.
Diego Simeone anamtaka Rashford Atletico Madrid ATLETICO Madrid imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa anachezea Barcelona kwa mkopo akitokea Manchester United.
Keane amwambia Mainoo: Kaza! KIUNGO gwiji wa Manchester United, Roy Keane amemtaka Kobbie Mainoo kumthibitishia Kocha Ruben Amorim anafanya makosa kumweka benchi kwa kuhakikisha anapambana kupata namba kwenye kikosi cha...
Henry ampasha Arteta hatutaki kisingizio THIERRY Henry amemwambia Kocha Mikel Arteta majeruhi hayawezi kuwa kisingizio cha kufanya vizuri kwani kinachotakiwa msimu huu Arsenal ni lazima ishinde ubingwa wa Ligi Kuu England.
Kizunguzungu cha mechi ya kwanza AFCON MECHI za ufunguzi kwenye AFCON mara zote zinakuwa tamu kwa wenyeji. Je, Morocco itaendeleza utamaduni?