Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7974 results for Mwandishi Wetu :

  1. Baada ya Steve Barker kutambulishwa Simba, Stellenbosch yatoa tamko

    KLABU ya Stellenbosch kutoka Afrika Kusini, imetoa tamko ikithibitisha kuwa, Steve Barker amejiuzulu nafasi yake ya Kocha Mkuu ili kuchukua jukumu jipya la kuinoa Simba SC ya Tanzania.

  2. ‎ Madrid yaanza kujipanga kwa Ruben Neves

    REAL Madrid ni miongoni mwa klabu zinazotajwa kufikiria kutaka kumsajili kiungo wa Al-Hilal na timu ya taifa ya Ureno, Ruben Neves, mwenye umri wa miaka 28.

  3. Jipindue uchekwe! EPL lazima kieleweke

    MSIMAMO wa Ligi Kuu England unavyosoma, Arsenal ipo kileleni kwa tofauti ya pointi mbili dhidi ya Manchester City.

    EPL Pict
  4. Uhondo wa AFCON 2025 unaanza hivi

    NGOJA tuone. Ndicho unachoweza kusema kwa sasa, wakati mashindano ya kusaka ubingwa wa Afrika yakianza huko Morocco, Jumapili.

    KUTOBOA Pict
  5. Afcon ilipogeuka kuwa sherehe ya mabao

    MASHINDANO ya soka ya kusaka ubingwa wa Afrika (AFCON) mara zote limekuwa jukwaa la mambo mengi ya kustaajabisha, ufundi na ustadi mkubwa katika soka la kushambulia na kushuhudia sherehe za mabao.

    AFCON Pict
  6. Steve Barker kocha mpya Simba SC

    KLABU ya Simba, leo Ijumaa, Desemba 19, 2025 imemtangaza Steve Barker kutoka Afrika Kusini kuwa Kocha Mkuu mpya.

    KOCHA Pict
  7. Diego Simeone anamtaka Rashford Atletico Madrid

    ATLETICO Madrid imeonyesha nia ya kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa England, Marcus Rashford, 28, ambaye kwa sasa anachezea Barcelona kwa mkopo akitokea Manchester United.

    FUNUNU Pict
  8. Keane amwambia Mainoo: Kaza!

    KIUNGO gwiji wa Manchester United, Roy Keane amemtaka Kobbie Mainoo kumthibitishia Kocha Ruben Amorim anafanya makosa kumweka benchi kwa kuhakikisha anapambana kupata namba kwenye kikosi cha...

    KEANE Pict
  9. Henry ampasha Arteta hatutaki kisingizio

    THIERRY Henry amemwambia Kocha Mikel Arteta majeruhi hayawezi kuwa kisingizio cha kufanya vizuri kwani kinachotakiwa msimu huu Arsenal ni lazima ishinde ubingwa wa Ligi Kuu England.

    HENRY Pict
  10. Kizunguzungu cha mechi ya kwanza AFCON

    MECHI za ufunguzi kwenye AFCON mara zote zinakuwa tamu kwa wenyeji. Je, Morocco itaendeleza utamaduni?

    AFCON Pict
Previous

Page 217 of 798

Next