Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7961 results for Mwandishi Wetu :

  1. Achraf Hakimi wa nini, kuna Mazraoui

    BEKI wa kulia, Achraf Hakimi ameshindwa kucheza mechi ya kwanza ya Afcon 2025, lakini hilo la kukosekana kwake wala halikuwa pengo kwenye kikosi cha Morocco baada ya uwepo wa Noussair Mazraoui...

    HAKIMI Pict
  2. YAS yadhamini Rombo  Marathoni 2025, yahamasisha utunzaji mazingira

    Kampuni ya Mawasiliano, Yas, imekuwa miongoni mwa wadhamini wa Rombo Marathon 2025, tukio lililoleta wanamichezo kutoka Tanzania na nje ya nchi pamoja, likilenga kuhamasisha michezo, mshikamano...

    ROMBO Pict
  3. Bissouma kuikosa mechi ya ufunguzi AFCON 2025

    MALI itamkosa kiungo nyota anayekipiga Tottenham Hotspur, Yves Bissouma katika mechi ya ufunguzi ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayochezwa leo Jumatatu, lakini kocha wa timu...

    MBESUMA Pict
  4. Pitso Mosimane aitabiria  Bafana Bafana AFCON 2025

    KOCHA wa zamani wa Bafana Bafana, Pitso Mosimane, amesema soka la Afrika ni 'mnyama tofauti' na kwamba majina makubwa katika orodha ya wachezaji hayana maana kubwa inapofika wakati mgumu wa Kombe...

    PITSO Pict
  5. Kocha Zambia aiwahi AFCON baada ya kula msosi wenye sumu

    KOCHA wa Zambia, Moses Sichone, leo Jumatatu atapata fursa ya kukaa benchi na kuiongoza timu yake kwa mara ya kwanza, baada ya kukosa mechi yake ya kwanza mwezi uliopita.

    CHIPOLOPOLO Pict
  6. Shaun Bartlett aihimiza Bafana Bafana kumaliza ukame wa miaka 30

    Mshambuliaji wa zamani wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Shaun Bartlett, ameonesha imani kubwa kuwa Bafana Bafana inaweza kumaliza ukame wa kusubiri kwa miaka 30 kutwaa ubingwa wa Kombe la...

    BARTLET Pict
  7. Kocha Super Eagles atabiri bingwa wa AFCON 2025

    Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Nigeria, Philippe Troussier, ametaja timu nane anazoamini zina uwezo wa kutwaa ubingwa wa fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), zilizoanza jana Jumapili...

    BINGWA Pict
  8. Hugo Broos kuandika rekodi binafsi Bafana Bafana

    Kocha wa timu ya taifa ya Afrika Kusini maarufu Bafana Bafana, Hugo Broos, anatarajiwa kuweka rekodi binafsi kwa kufikisha mechi 50 akiwa kocha wa timu hiyo, itakayocheza mechi ya kwanza ya...

    BROOS Pict
  9. Walid Regragui: Haikuwa rahisi kuifunga Comoro, tumejifunza kitu

    Kocha wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui, amesema mechi ya ufunguzi ya AFCON 2025 dhidi ya Comoro haikuwa rahisi kwa kikosi chake, lakini amefurahishwa na namna wachezaji walivyobadilika...

    KOCHA Pict
  10. Duh! Morocco ilijiandaa mwaka na nusu

    KOCHA wa timu ya taifa ya Morocco, Walid Regragui, amesema kikosi chake na benchi la ufundi kwa ujumla walijiandaa kwa mwaka mmoja na nusu kwa ajili ya kucheza mechi ya ufunguzi katika michuano...

    MOROCCO Pict
Previous

Page 212 of 797

Next