Nabi apangua saba akiikabili Biashara United, Mwamnyeto arejea ambapo Mwanaspoti limeshuhudia wakiwa wamekaa jukwaani na baadhi ya viongozi wa klabu ya Yanga. Nyota wengine ambao wamepanguliwa Khalid Aucho, Jesus Moloko, Saido Ntibazonkiza wakianzia kikosi...
Sababu Bocco, Mauya kuachwa Taifa Stars Wakati viungo Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na Himid Mao wakirudishwa katika kikosi cha timu ya taifa ‘Taifa Stars’, benchi la ufundi la timu hiyo limedai sababu ya baadhi ya wachezaji kutojumuishwa...
Himid, Sure Boy warudishwa Stars VIUNGO Himid Mao (Ghazi Mahl-Misri) na Salum Abubakari ‘Sure Boy’ wa Yanga wamejumuishwa kwenye kikosi cha timu ya Taifa Tanzania kinachoingia kambini kujiandaa na Fainali za Mataifa Afrika...
Nabi afunguka, Prisons wacheka KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi anachokwenda kukifanya mazoezini kuanzia leo jioni lakini Prisons nao wakagusia walivyoidhibiti mechi ya juzi.
Yanga yaacha watano Dar , Said Ntibazonkiza, Jesus Mayele na Fiston Mayele. Wengine ni Abdultwalib Mshery, Erick Johora, Yassin Mustafa, Ibrahim Bacca, Abdallah Shaib, Zawadi Mauya, Salum Abubakari, Farid...
Yanga yashusha mziki, Simba yapangua wawili Vinara wa Ligi Kuu Bara wameachia kikosi chao kitakachoanza kwenye mechi dhidi ya watani zao Simba kwenye mechi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu Bara Uwanja wa Benjamin Mkapa.
Bangala, Shomari warejea Yanga ikiivaa Geita Farid Mussa na Deus Kaseke watacheza kama mawinga huku Fiston Mayele akipangwa eneo la mshambuliaji wa kati. Kwenye benchi wapo Abultwalib Mshery, Ibrahim Bacca, Yassin Mustafa...
Msuva aiokoa Stars na kichapo TIMU ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 dhidi ya Sudan katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliomalizika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Katika mchezo huo ulio...
Kisinda wa leo sio Moloko wala Lunyamila nafasi ya kuupokea na kutengeneza shambulizi la uhakika. Alisema kukimbia na mpira hakuna maana kwa kuwa kunachelewesha mashambulizi ya uhakika zaidi. ULIWAHI KUSIKIA HII Miquissone sio aina ya...
Bocco, Erasto watemwa Stars nafasi ya kurejea wakati tukiwa kambini na bado kuna muda,” amesema Kim Kim amesema kikosi chake kitacheza mechi mbili za kirafiki dhidi ya Afrika ya Kati na Sudan inayotarajiwa kuchezwa Machi 23...