Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8725 results for Mwandishi :

  1. Arsenal yanogewa na Piero Hincapié, kumsajili moja kwa moja

    KLABU ya Arsenal imeripotiwa kuridhishwa na kiwango cha beki wa kimataifa wa Ecuador, Piero Hincapié, tangu ajiunge na timu hiyo kwa mkopo akitokea Bayer Leverkusen, na sasa imepanga kumsajili...

    ARSENAL Pict
  2. Kuhusu Madrid, Klopp ukweli ni huu

    MUSTAKABALI wa Kocha Jurgen Klopp kwa mara nyingine umeanza kuzua mjadala mkubwa baada ya ripoti mbalimbali kudai anafikiria kurejea tena kwenye benchi la ufundi baada ya kupewa ofa ya ajira na...

  3. Guardiola ataka kuvunja rekodi, apata tena adhabu England

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola, amesema anataka kuvunja rekodi zote nchini humo baada ya kupata adhabu nyingine ya kufungiwa, huku akisisitiza hataacha kuwatetea wachezaji wake.

  4. Kocha mpya Morocco atuma salamu kwa wachezaji

    KOCHA mpya wa timu ya taifa ya Morocco, Mohamed Ouahbi, ameahidi kuendeleza mafanikio makubwa yaliyopatikana hivi karibuni huku akisisitiza kuwa uteuzi wa wachezaji utazingatia kiwango cha...

    KOCHA Pict
  5. Miaka 14 yamtosha Kyle Walker England, atundika daluga

    Beki Kyle Walker ametangaza kustaafu rasmi kuitumikia timu ya taifa ya England baada ya kupoteza nafasi yake katika kikosi cha Meneja Thomas Tuchel miezi michache kabla ya fainali za Kombe la Dunia.

  6. Beki Arsenal atuma ujumbe mzito kwa wenzake

    BEKI wa kati wa Arsenal, William Saliba amewaambia wachezaji wenzake: Sasa ni muda wa kubeba mataji.ruhi watarudi Januari kutusaidia kwa sababu tupo kwenye kila mashindano na tunataka kufanya...

    SALIBA Pict
  7. AFCON 2025: Angola, Zimbabwe zagawana pointi

    WASHAMBULIAJI Gelson Dala na Knowledge Musona kila mmoja alitupia nyavuni wakati Angola na Zimbabwe zilipogawana pointi kwenye mechi yao ya pili ya Kundi B katika mashindano ya Afcon 2025...

    AFCON Pict
  8. Benin yaichapa Botswana, yazoa pointi muhimu

    BAO la kipindi cha kwanza lililofungwa na Yohan Roche lilitosha kuipa Benin ushindi wao wa kwanza kwenye mashindano ya Afcon 2025 baada ya kuichapa Botswana 1-0 katika mchezo wa Kundi D...

    BENIN Pict
  9. Bingwa AFCON 2025 kubeba Sh 24 Bilioni

    RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe ametangaza ongezeko la 43% la fedha za zawadi kwa bingwa wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 iliyoanza jana huko...

    BINGWA Pict
  10. Algeria yapata pigo kabla ya kuivaa Sudan

    KIUNGO nyota wa Algeria, Houssem Aouar, ameiondoa kikosi cha timu ya taifa kilichopo Morocco kwa ajili ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025, ikiwa ni siku chache kabla ya...

    ALGERIA Pict
Previous

Page 206 of 873

Next