Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8722 results for Mwandishi :

  1. Haaland aibuka mfungaji Bora kufuzu Kombe la Dunia

    Mshambuliaji wa Norway, Erling Haaland, amemaliza hatua ya makundi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026 barani Ulaya akiwa kinara wa mabao, baada ya kufunga jumla ya mabao 16 na kuisaidia nchi yake...

  2. Guardiola kuamua hatma yake Jumapili Carabao Cup

    KOCHA wa Manchester City, Pep Guardiola atafanya uamuzi kuhusu mustakabali wake baada ya fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Arsenal, Jumapili ya wiki hii.

  3. Arteta awachana wachezaji Arsenal

    KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amewaambia wachezaji wake lazima wajifunze na kukabiliana na vipindi vigumu kuendana na hali ngumu vinginevyo watajikuta wakimaliza msimu bila taji.

    ARTETA Pict
  4. Raia nusura wamuue mkongwe kwa ujambazi

    MCHEZAJI maarufu wa zamani wa Ecuador, Christian Lara, amekamatwa kwa tuhuma za kuhusika katika jaribio la ujambazi wa kutumia silaha, na kushambuliwa na wananchi waliokuwa jirani na eneo...

    RAIA Pict
  5. Slot asema Liverpool haitabadilisha mfumo wa usajili

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot ametoa mwanga kuhusu mipango ya usajili ya dirisha lijalo la majira ya kiangazi, akisisitiza hana mpango wa kuondoka katika kikosi hicho.

  6. Uwanja wa Mkapa kufungwa kupisha maandalizi AFCON 2027

    SERIKALI imetangaza kuufunga Uwanja wa Benjamin Mkapa kuanzia mwezi huu ili kupisha awamu ya mwisho ya ukarabati mkubwa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea michuano ya Kombe la Mataifa ya...

    KWA MKAPA Pict
  7. Kocha Chelsea alalamikia kona za Arsenal

    Chelsea iliruhusu mabao yote mawili dhidi ya Arsenal kutokana na mipira ya kona katika kipigo cha 2-1 kwenye Ligi Kuu England , Jumapili.

  8. Jurgen Klopp atamani kurudi mzigoni

    KOCHA wa zamani wa Liverpool, Jurgen Klopp anaweza kufanya uamuzi wa kushangaza na kurejea tena kufundisha soka baada ya kuanza kuhisi hamu ya kurudi kwenye benchi la ufundi.

    KLOPP Pict
  9. Tudor akataa kuthibitisha hatma yake Tottenham baada ya vipigo vitatu

    KOCHA wa Tottenham Hotspur, Igor Tudor, ambaye yuko kwenye presha kubwa, amekataa kuthibitisha kama bado atakuwa kocha wa timu hiyo katika mechi ijayo.

  10. Msako wa kocha Burkina Faso, Steve McClaren achomoza

    ALIYEKUWA kocha wa timu ya taifa ya England na klabu kadhaa za Ligi Kuu nchini humo, Steve McClaren, ameripotiwa kuingia katika orodha ya mwisho ya wagombea wa nafasi ya kuifundisha Burkina Faso.

    BURKINA Pict
Previous

Page 205 of 873

Next