Trump, Infantino watangaza ahueni ya viza kwa mashabiki Kombe la Dunia
Rais wa Marekani, Donald Trump, na Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), Gianni Infantino, wametangaza mfumo mpya wa kurahisisha na kuharakisha mchakato wa kupata viza kwa mashabiki...