Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

701 results for Damian Masyenene :

  1. Julio aanza na ushindi Singida, Kayoko atembeza kadi Kirumba

    Kibarua cha Julio katika kikosi cha Singida Fountain Gate ni kuvuna pointi 30 katika mechi 10 ambazo wenyewe wameziita ‘Agenda 10 za Julio’ na leo ameanza na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya...

    New Content Item (2)
  2. Pamba inaitaka Ligi Kuu, Chanongo atakata Kirumba

    Mwanza. PAMBA Jiji imeendelea kuonyesha kweli inataka kucheza Ligi Kuu Bara msimu ujao baada ya jioni ya leo Ijumaa kuifumua Mbeya City kwa mabao 3-0 katika mechi ya Ligi ya Champioship, huku...

  3. Kagere kuikosa Singida, Nsajigwa amhofia Julio

    KOCHA msaidizi wa Namungo, Shadrack Nsajigwa amesema mabadiliko ya benchi la ufundi la Singida Fountain Gate kwa kumleta kocha mpya, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ yataleta ugumu katika mchezo wa kesho...

  4. Singida yasaka ushindi wa kwanza Kirumba

    KESHO Singida Fountain Gate itacheza mchezo wake wa tatu wa Ligi Kuu katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa ikisaka ushindi wa kwanza itakapoialika Namungo kuanzia saa 10:00 jioni. Tangu...

  5. Mtambo wa mabao warejesha mzuka Geita

    BAADA ya kurejea kutoka Sweden kwenye majaribio, mshambuliaji wa Geita Gold, Valentino Mashaka aliibeba timu yake kwa kuifungia bao muhimu katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Dodoma Jiji. Ushindi huo...

  6. Pamba Jiji mambo freshi Championship

    BAADA ya kuwakata stimu mashabiki katika mechi iliyopita ya Ligi ya Championship, mchana wa leo Pamba Jiji imerejesha furaha jijini Mwanza kwa kuinyoosha Ruvu Shooting kwa mabao 3-1 na kupaa hadi...

  7. Rock Solution yaanza kibabe Ligi ya Mikoa

    LIGI ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) Tanzania Bara, imeanza leo katika mikoa minne, huku katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza wenyeji Rock Solution wakianza vyema kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya...

  8. Mtibwa Sugar yazindukia jijini Mwanza

    BAADA ya kucheza mechi zaidi ya saba bila kupata ushindi, hatimaye leo jioni Mtibwa Sugar imezindukia ikiwa jijini Mwanza kwa kuinyoosha Singida Fountain Gate kwa mabao 2-0 katika pambano la Ligi...

  9. Pamba yajikwaa Championship

    Mwanza. PAMBA Jiji imejitibulia kwenye kampeni ya kupanda daraja baada ya leo kulazimishwa suluhu nyumbani huku ikiwapa nafasi washindani wake, Ken Gold na Biashara United kuongeza pengo la...

  10. Kadi nyekundu zamponza refa

    KADI mbili nyekundu alizotoa mwamuzi Gabriel Masimbazi zilimweka matatani akijikuta akiwambwa makofi na mchezaji Joseph Isco aliyekuwa akiichezea Dortmund wakati wa mechi baina yao dhidi ya Bilo...

Previous

Page 21 of 71

Next