Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

113 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Huu ni muda wa kupimana afya

    WIKI mbili zilizopita barani Ulaya Euro 2024 ilimalizika na bingwa ilikuwa Hispania wakati Copa Amerika 2024 ilikwisha na bingwa ni timu ya taifa ya Argentina.

  2. SPOTI DOKTA: Majeraha ya Messi yapo hivi

    USIKU wa Jumapili katika mchezo wa fainali ya mashindano ya Copa Amerika 2024 kwa mara nyingine tena Argentina ilifanikiwa kutwaa ubingwa huo baada ya kuifunga nchi ya Colombia bao 1-0.

  3. SPOTI DOKTA: Mvunjiko wa pua wa Mbappe uko hivi

    KATIKA mchezo wa nusu fainali ya Euro 2024, juzi Jumanne nchini Ujerumani, miamba ya soka barani Ulaya Ufaransa ilitupwa nje ya mashindano ikiwa na staa wake mwenye mvunjiko wa pua, Kylian Mbappe.

  4. SPOTI DOKTA: Euro 2024 haya yamewabeba kufika robo fainali

    HATUA ya 16 Bora ya Euro 2024 ilimalizika juzi usiku na kesho, Ijumaa, robo fainali ya kundi la kwanza kwa mechi kali mataifa yenye ligi bora katika soka duniani Hispania vs Ujerumani na Ureno vs...

  5. SPORI DOKTA: EURO 2024 Utimamu wa Pepe uwanjani si mchezo

    KIVUMBI cha Fainali za Euro 2024 kinaendelea kutimka kule Ujerumani na sasa michuano hiyo ya Mataifa ya Bara Ulaya imemalizika katika hatua ya makundi na inaingia 16 Bora.

  6. Huu hapa umuhimu wa kufanya mazoezi

    JUMANNE jioni kulikuwa na mjadala wakuvutia kwenye jukwaa la Jamii forum kuhusu umuhimu wa mazoezi ili kukabiliana na magonjwa yasiyoambukiza.

  7. SPOTI DOKTA: Stars walikuwa timamu

    Kwa ushindi huo wa bao la mapema dakika ya 5 lililofungwa na Waziri Junior Shentembo unaiweka Taifa Stars katika nafasi ya pili katika kundi E kufuzu Kombe la Dunia 2026.

  8. SPOTI DOKTA: Wasiwasi unavyoathiri upigaji penalti

    JUMAPILI iliyopita, Yanga ilitwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho unaodhaminiwa na Benki ya CRDB kwa ushindi wa penalti 6-5 dhidi ya Azam FC ni baada ya suluhu katika dakika 120.

  9. SPOTI DOKTA: Mei mosi na tishio afya za wachezaji

    Kila Mei Mosi kwa mwaka inaadhimishwa siku ya kimataifa ya wafanyakazi duniani. Chini ya mwamvuli wa Umoja wa Mataifa (UN), Tanzania na nchi duniani iliyoazimisha siku hiyo hapo jana.

  10. SPOTI DOKTA: Sababu ya majeraha ya Inonga, Lomalisa

    KATIKA Kariakoo Dabi ya Ligi Kuu Bara kati watani wa jadi, Simba na Yanga iliyochezwa Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa ilishuhudia Yanga ikiibuka na ushindi wa mabao 2-1.

Previous

Page 3 of 12

Next