Harry Kane kawa mtamu kinyama yani! STRAIKA, Harry Kane ameripotiwa kuwa na pato linalofikia thamani ya Pauni 100 milioni kwa sasa huku hilo likinganishwa na thamani yake ya mabao anayofunga kila siku, yanayotajwa kuwa na thamani...
Hiki hapa kikosi bora hatua ya makundi AFCON 2025 HATUA ya makundi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 nchini Morocco na leo Jumamosi, Januari 3 utaanza rasmi mchakamchaka wa hatua ya mtoano ya 16 bora.
Kobbie Mainoo kukomaa na Man United KIUNGO, Kobbie Mainoo amebadili mawazo na kuamua kupambania nafasi kwenye kikosi cha kwanza cha Manchester United licha ya kuwekwa sana benchini na kocha Ruben Amorim.
Mambo matano kufukuzwa Maresca ENZO Maresca ameondoka Chelsea baada ya matukio matano muhimu kusababisha kuvunjika kwa uhusiano wake na klabu hiyo.
Offside ya Arsene Wenger imeiva! ILE ni offside. Mmefunga bao la offside. Ni mjadala ambao umekuwa ukiibuka mara kwa mara kutoka kwa mashabiki pindi timu zao zinapocheza na kutokea tukio la bao lililofungwa kuwa na utata kwa...
AFCON 2025: 16 Bora ramani nzima ipo hivi BAADA siku 11 ya kushuhudiwa zikipigwa mechi 32 za makundi, hatimaye timu za nchi 16 kati ya 24 zilizoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zimetoboa kibabe kwenda hatua ya...
Camavinga akataa ofa ya Liverpool, ataka kubaki KIUNGO wa kati wa Ufaransa, Eduardo Camavinga, ameonyesha nia ya kubaki katika viunga vya Real Madrid, licha ya timu kibao za Ligi Kuu England ikiwamo Liverpool kuonyesha nia ya kutaka kumsajili.
Ripoti yaipa penalti Everton kwa Arsenal RIPOTI kutoka Jopo la uchunguzi wa matukio tata katika mechi za Ligi Kuu England imefichua kuwa Everton ilipaswa kupewa faida ya pigo la penalti katika mechi yao dhidi ya Arsenal iliyomalizika...
Riyad Mahrez, El Kaabi wakabana koo AFCON NYOTA wa Algeria, Riyad Mahrez, sambamba na Brahim Diaz na Ayoub El Kaabi wote wa Morocco wanachuana katika orodha wa wafungaji mabao katika michuano ya 35 ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON)...