MO: Tutasajili kimkakati, fedha zipo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohammed Dewji 'MO' amesema klabu hiyo itarudi kwa nguvu msimu ujao, huku akitangaza maboresho maeneo mbalimbali.
Liverpool, Newcastle United watauana LIVERPOOL imetangaza vita dhidi ya Newcastle kwa kutaka kumnyakua Hugo Ekitike kutoka Eintracht Frankfurt katika dirisha hili.
Mipango ya Barca kurudi Nou Camp yavurugika MABINGWA watetezi wa La Liga, Barcelona wako tayari kufuta mpango wao wa kurudi kwenye Uwanja wa Spotify Camp Nou kwa ajili ya mechi ya Joan Gamper Trophy dhidi ya Como mwezi ujao kutokana na...
Hojlund asakwa Italia kisa Mbeumo AC MILAN inapiga hesabu za kunasa saini ya straika Rasmus Hojlund baada ya Manchester United kufikia makubaliano ya kumsajili Bryan Mbeumo kutoka Brentford.
Ronaldo atafuta timu Kombe la Dunia SUPASTAA Cristiano Ronaldo amethibitisha kwamba ataachana na Al Nassr kupitia posti yake kwenye mtandao wa kijamii.
Refa aliyefungiwa apewa fainali Conference League REFA ambaye alikumbana na adhabu ya kufungiwa mechi sita msimu huu ndiye aliyechaguliwa kuchezesha mechi ya fainali ya Conference League itakayokutanisha Chelsea na Real Madrid, Jumatano.
Lwassa jeshi la mtu mmoja Kagera KATIKA msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kagera Sugar na KenGold zimeshuka daraja tayari huku timu hizo zikiwa ndiyo zenye idadi ndogo zaidi ya mabao ya kufunga ambayo ni 22 hadi sasa zikiwa zimecheza...
Arsenal wanawake yatwaa Uefa BAADA ya kumaliza msimu bila ya kushinda taji lolote kwa upande wa wanaume, mashabiki wa Arsenal huenda wakajifuta machozi baada ya timu yao ya wanawake kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya...
Bilbao yaikazia Madrid kwa Nico Williams KOCHA wa Athletic Bilbao, Ernesto Valverde ametuma ujumbe kwa Real Madrid, baada ya kusisitiza kuwa mabosi wa timu hiyo wanafanya kila linalowezekana ili staa wao Nico Williams abakie kwenye...
Guardiola ang’aka kuhusu Grealish KOCHA, Pep Guardiola amempiga chini Jack Grealish kwenye kikosi chake kilichocheza mechi ya mwisho msimu huu, kisha akisema winga huyo Mwingereza anaweza kuondoka mwisho wa msimu.