Kila mbabe ana ubabe wake EPL LIGI Kuu England imefika patamu. Arsenal imeshindwa kutanua pengo la pointi kufikia nane kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kubanwa nyumbani ikishindwa kufungana na Liverpool uwanjani...
Utamu AFCON 2025 ndo unaanza sasa FAINALI za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 zimepigwa mechi zaidi ya 40 katika siku 20 zilizopita tangu ilipoanza Desemba 21 mwaka jana, lakini unaambiwa kuanzia leo Ijumaa uhondo wa...
Simu zimeanza kuita kwa Ruben Amorim SIKU chache baada ya kuondoka Manchester United, kocha Ruben Amorim yupo katika nafasi ya kuajiriwa tena nchini Ureno.
Liverpool yapanga kumsajili Greenwood dirisha hili dogo LIVERPOOL inafikiria kuwasilisha ofa kwa ajili ya kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Manchester United, Mason Greenwood, mwenye umri wa miaka 24.
Antony Joshua adaiwa kustaafu ngumi NDUGU wa Anthony Joshua anaripotiwa kufichua kuwa bondia huyo ambaye ni bingwa wa zamani wa dunia wa uzito wa juu mara mbili amestaafu rasmi ngumi baada ya ajali ya gari iliyosababisha vifo vya...
Lejendi Liverpool atoa onyo dili la Semenyo LEJENDI wa Liverpool, Jamie Redknapp amesema staa wa Bournemouth, Antoine Semenyo bado anaweza kujiunga na Liverpool badala ya Manchester City, licha ya kuwa tayari yupo katika harakati za...
Carrick, Solskjaer kuunganisha nguvu Man United MANCHESTER United inafikiria kuwaajiri kwa pamoja Ole Gunnar Solskjaer na Michael Carrick kama makocha wa mpito.
Marc Guehi mlango wazi kusepa BEKI wa Crystal Palace, Marc Guehi anaweza kuondoka Crystal Palace mwezi huu ikiwa Manchester City itakubali kutoa Pauni 40 milioni ambayo ni ada yake.
Wakali wa mabao AFCON 2025 KADRI michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 inayofanyika Morocco imeingia patamu zaidi katika mtoano na ushindani wa kuwania Kiatu cha Dhahabu unaanza kuchukua sura.
Takwimu zilivyo kabla ya robo fainali AFCON 2025 kupigwa MICHUANO ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2025 imeingia hatua ya robo fainali ya Kombe la Afrika 2025, ambapo kuanzia kesho Ijumaa zitaanza kupigwa mechi mbili na Jumamosi zitapigwa tena mbili.